Thank you,
Tena umefanya vizuri kumtolea mfano yeye mwenyewe sababu kutwa anatuletea visa vya michepuko na watu wanachangia kwa furaha bila kuhukumu hali ya kua ni uzinzi na uzinzi umekatazwa kwenya hayo hayo maandiko yaliyokataza homosexuality, tunaona kuna mada tele za pombe na watu wanachangia kwa kupeana viwanja vya kupombeka hali ya kua Pombe imekatazwa kwenye hivyo hivyo vitabu vilivyokataza homosexuality,

Papa yupo sahihi, kama ambavyo watu wazima Me na Ke wameamua kwa hiari yao kuzini wakijua wanatenda dhambi na hukumu wataikuta kwa Mungu wao basi hivyo hivyo kwa homosexuality wanajua wakifanyacho ni dhambi na hukumu wataikuta kwa Mungu wao, iweje hao walevi, wazinzi, wasengenyaji, watoa mimba, wanyanyasa yatima na wajane, n.k wajipe ukuu wa kuwahukumu homosexuality hali ya kua wao hawajahukumiwa?

Sisi wote ni wa Mwenyeezi Mungu na kwake tutarejea tutake tusitake.
 
Ni uongo, Wakatoliki wapo tangu zamani, sasa inakuwaje wao ndio waedit? Nilitegemea aliyekuja baadaye ndio ataedit
Baadhi ya mafundisho ya kikatoriki yanakinzana na biblie hivo basi viongonzi wanahaha ni namna gan biblie ifanyiwe uchakajuaji ili wahalalishe niaovo kwa jamii,ukienda kichwa kichwa utanunua biblia ya hovyo,refer amri10 za Mungu ambavyo zimechezewa huko roma
 
Dini inayonyumbulika kutokana na wakati

They are known to be conservatives, makanisa mengine hata ndoa wanawafungisha but sio RC.
Kwa upande wa dini ushoga ni dhambi.
Japo akienda kanisani ama sehemu ingine hatofukuzwa ushoga wake.
Dhambi kubwa tukiamza kuuana ikiwa uchoko wao hauletwi kilazima kwangu.
 
Ushoga sio dhambi ya kipekee iliyosababisha moto sodoma? Anyways, mm nimekuwa nikidhani ushoga kwa wakristo ni dhambi ya kipekee sana huenda nilikuwa wrong.

Basi kwa sababu ushoga na pampas ni mapacha, wanaume tukubaliane kuwa ni dhambi ya kipekee isiyofaa hata kama papa hataki.
 
ni vyema ukaionyesha hiyo unayoiita 'biblia ya hovyo hovyo', vinginevyo ni stori tu. ameshakwambia ni dhambi, unataka biblia gani inayosema sio dhambi?
 
Binafsi naona kuna mambo ya kuwa straight na mambo ya kulainisha lainisha. Mkuu wa kanisa akiuzungumzia ushoga auadress kama jambo ambalo kweli ni chukizo mbele za MUNGU.
Labda unashauri vipi kati ya haya:
1. Angelinyamazia tu jambo hili kama vile halipo?
2. Angesema uongo kuwa ni kosa?
3. angesema uongo kuwa si dhambi?
4. (ongezea)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…