Waziri mkuu yumo.
Shida sio kupanda basi KWa Marais, shida ni jinsi Marais waishivyo kwenye nchi zao ,ya kwamba sio watu bali ni miungu watu, na kwamba hawastahili hata tembelea Noah ,kumbe inawezekana hata kupanda basiNchi ngumu Sana hi jmn Marais kupanda mabas unapandisha Uzi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yaani mtu alishfariki muda mrefu tu ila Bado mnasimamia ukucha kumchamba huku, Kweli Kuna watu man roho za korosho Sana kudadeki!Hivi nyie watu muko na matatizo?
Kuna ubaya gani ikiwa most head of state wamepandishwa basi?
Huyo magufoool hata kualikwa asingealikwa
Kumbe uwezo wa kukaa na kujazana ndani ya basi upo tu[emoji23][emoji23] na kumbe hata wao ni binadamu tu kama sisi. Sasa kwa nini huwa wanajikweza huku?[emoji3][emoji3]
Sema bimkubwa kinamna kama anajiziba uso asionekane[emoji16]
View attachment 2361420
View attachment 2361410
Kweni basi ni hilo moja? yako kadhaa!.Yumo kwenye hilo basi?
Jizime data makusudi ushaelewaMimi sio Mchaga.
Mpaka nimeona aibu!!Ubaguzi hautaisha hapa Duniani. Mabasi ya marais weusi peke yao!
Hayati Magufuli angemtuma balozi tu amuwakilishe.
View attachment 2361528
Ah ah... muongo wewe, ulikuwepo??Ni Viongozi wote wa Duniani isipokuwa Biden na PM wa Israel tu
View attachment 2361399
Si lazima kuna kitu kizuri sana cha ziada ambacho wanaonekana kuwa wanacho!Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Kweni basi ni hilo moja? yako kadhaa!.
Jpm alikua na matatizo binfsi na kupanda ndege yule, alafu pia yai kwake ilikua shida kidogo, sio kwamba hakupenda kusafiri matatizo binafsi ndo ilikua changamoto, mtu masaa yote anakaa na feni, angeweza mikikimkiki,Tusiongee kwa jazba kiukweli jpm asingeenda kwenye huo msiba, weka pembeni hizi habari za mabasi, yeye angemtuma balozi au au makamu wake au waziri mkuu au waziri wa mambo ya nje.
huu ndo ukweli.
Rip jlm wetu.
Ruto hana mbavuHuyo wa mbele,anaona soo.
Mimi naongelea Waziri Mkuu.Weka picha ya raisi wa India akiwa kwenye basi kama samia!