Hili ni swali la msingi
..watolee ufafanuzi kwanini Rsisi akisafiri huagwa na kupokewa uwanja wa ndege na utitiri wa viongozi wanaoendeshwa kwenye ma-V8.

.. Kwanini viongozi hao wasipande basi maalum kwenda kumuaga au kumpokea Raisi uwanja wa ndege?
 
Weka kapicha basi mkuu
 
Hata parking hakuna
 
Watu mna kiherehere shida iko wapi, marais wengi tu wamepanda bus maalum, isipokuwa Biden na PM wa Israel, aibu ni ipi hapo?
Kwenda huko umeona kiongozi gn wa G7 kapanda hizo daladala?
 
Loud and clear,big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…