Ubaguzi hautaisha hapa Duniani. Mabasi ya marais weusi peke yao!

Hayati Magufuli angemtuma balozi tu amuwakilishe.
View attachment 2361528
soma thread hii,
 
Tuwe na akili. Ile nchi imefurika. So ili kupunguza foleni solution wameona ni mabasi.
Unavosema ya kwamba wakijaga kwetu huwa tunawakarimu na escort je huwa wanakuwa marais na wakubwa wakiwa kwa idadi kubwa kama ya kwenye huu msafara.

Pull up your socks
 

Leta picha hapa ya kiongozi wa china au france na German wakiwa kwenye basi moja!
 
Nime like paras za kwanza...Hizo mbili za mwisho, naheshimu maoni yako lakini siyakubali
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unajitetea sana... samia kaaibika sana maskinii

Amejikunyata dirishani kwa hofu anatamani kujificha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…