Nyie wajengewa vyoo mnauthamani gani WA kuwapanga host wenu jinsi ya kuwahandle ?
How dare you ? Mmelazimishwa kuhudhuria ?
 
Andamana
 
Hicho kibibi CCM, nakiona ni aina ya vibibi vikisafiri kutoka Iringa kwenda dsm kikifika ipogoro kinanunua muhindi wa kuchemsha kinakula , kikifika igumbilo kinanunua yoghurt ya buku kinakunywa, kikifika ilula kinanunua nyanya kindoo kimoja
 
Weka picha

Wacha kiswahiliiii.

Bwana picha ako tumeona
 
Ila jamaa washenzi hawa.Walikuja bila visa wala passport. Mtu ukitaka kuomba visa ya UK inabidi ufunge kwa maombi.
Tatizo ni sisi, we invent nothing we consume everything.

Dunia mzima inatudharau.
 
Kama huwezi kuprove hao wamepanda yutong nyamaza.
 
Eti " nimesikitishwa...."!!

Yaani wenzako ndiyo kwanza tumefurahi!! Ila wewe umesikitishwa!!


Binafsi ningeona sawa tu hata kama wangepakizwa kwenye lori la wazi aina ya Fuso. Maana wakiwa huku kwetu huwa wanajiona kama vile siyo binadamu wa kawaida. Full kujimwambafai na kujiona miungu watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…