Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Unaijua VIEITE wewe ?
 
Halafu BUS walilopanda sasa,hata SHABIBY ana bus kali kuliko hizo

wakija tu wachezaji wao tunawapa mabus V.I.P ila sisi ndio kutujaza

kwenye kidaladala chao,sema fresh Maza etu nae aone utamu wa kukaa

kwenye bus hawezi hata kugeuza shingo wala kufungua kioo,ilivyo tamu

Marais wote waliopanda kimbinyiko kama hawatajifunza kitu,basi sasa .
 
Achaa maneno weka picha

Kiswahili ya nini wekaa pichaa
Cristina Gallardo from POLITICOEurope reported that the following world leaders and royals travelled to the funeral by bus:
  • King Abdullah II and Queen Rania of Jordan
  • King Carl XVI Gustaf and Queen Silvia of Sweden
  • Queen Margrethe II of Denmark
  • King Felipe and Queen Letizia of Spain
  • Italy’s President Sergio Mattarella
  • Australian Prime Minister Anthony Albanese
  • European Commission President Ursula von der Leyen
  • Polish President Andrzej Duda and wife Agata
  • German President Frank-Walter Steinmeier
  • King Harald and Queen Sonja of Norway
  • President Halimah Yacob of Singapore
 
Watoto wasiojua mambo haya waelezwe kwamba msibani hatutafuti umaarufu hata kidogo huo ni utaratibu wa kawaida kabisa na jua tukio hili ni kubwa,issue ni kushiriki msiba then kurudi nyumbani kazi iendelee.
Mambo gani ya kudharauliana kama wewe ni mkubwa na unakosa hekima ya kujua lipi huyo mtoto anatakiwa kulijua basi bora hao watoto kuliko wewe usiyeweza kuwapa matumaini future generation...Watoto wetu hawawezi kukulia hizi dharau, no never!
Wakwangu nitamfundisha kutokubali heshima za kinafiki kama hizi
 
Hivi Mjomba OSAMA angekuwepo,leo angepiga ndege wengi sana kwa jiwe 1

Ulinzi wa leo ile nchi walahi hadi sisimizi leo wanasimama kukaguliwa wapende wasipende

haina cha kusema mimi nzi,mimi mbu,mimi siafu Leo ukaguzi ni kwa viumbe vyote dadeki.
 
Kama hizi tetesi zitakuwa kweli, basi ikulu yetu inatetemeka bila sababu, probably lazima walikuwa wanaenda sehemu fulani, na usafiri wa basi umetimika ili kuwachukua wengi kwa wakati mmoja kuepusha foleni barabarani.
 
Kwakua anajitambua...Wote wangegoma wabaki na msiba wao
Ni msiba jamani it's not about pride, imagine kila raisi angepita na convoy yake si mji wote ungejaa foleni ? Pale wapo almost viongozi na wawakilishi kutoka dunia nzima toa nchi chache zilizopigwa Ban kama Russia.
 
Hivi Mjomba OSAMA angekuwepo,leo angepiga ndege wengi sana kwa jiwe 1

Ulinzi wa leo ile nchi walahi hadi sisimizi leo wanasimama kukaguliwa wapende wasipende

haina cha kusema mimi nzi,mimi mbu,mimi siafu Leo ukaguzi ni kwa viumbe vyote dadeki.
Ebu geuza wazo, mfano bomu linalipuka hapo, what a loss kwa nchi ambazo viongozi wao wamo humo?
Yaani nikusema maiti ya huyo mama inathamani kuliko watu wa hizo nchi kadhaa ambazo zimewekwa kama nyanya kwenye gari moja bila kujali risks zinazoambatana na hiyo decision, what a dharau kwa dunia hawa binadamu wameonyesha, no wonder walikuwa ready kuua ili wajitajirishe...Shame shame shame shame upon their faces!
 
Wakirudi tunataka tuone mabadiliko ya lazima! Wametuzoesha tuwaone kama miungu watu, kumbe ni binadamu tu kama sisi!

Kumbe wanaweza tu kupanda kwenye mabasi na kukaa kwenye siti, na kwa utulivu kabisa kama sisi wananchi wao wanyonge!!

Sasa zile mbwembwe za misafara ya Ma V8 ya kifahari zaidi ya 50 za nini? Kama siyo matumizi mabaya tu ya fedha za wavuja jasho wao?
 
Ni msiba jamani it's not about pride, imagine kila raisi angepita na convoy yake si mji wote ungejaa foleni ? Pale wapo almost viongozi na wawakilishi kutoka dunia nzima toa nchi chache zilizopigwa Ban kama Russia.
Utani provoke nikutukane bure!
Mh. Rais wangu kudogoshwa jinsi ile ni ishara ya mimi pia kudharauliwa...Kwanini wamewabagua hao wengine? Wangwachanganya wote basi tena bila kujali rangi ndiyo tungejua ni msiba, alas!
 

Private jets not allowed, world leaders to use bus to Queen's funeral.​

"Foreign leaders and their spouses attending Queen Elizabeth II's state funeral have been told to fly commercial into Britain and take laid-on buses to reach the service, reports have said."
The citizen-Reported 6 days ago.
 
Hili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.

Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.

Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
Ni kutokana na viongozi wetu wa Afrika wanavyojiweka.
 
Back
Top Bottom