watakutia mimba , muda mdogo ujao utakuwa mjamzitoChadema acheni utoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watakutia mimba , muda mdogo ujao utakuwa mjamzitoChadema acheni utoto
Hebu Sema Ukweli:
G7 wote Waliohudhuria hakuna aliepanda hayo ma BuS ya Dart kimara to gerezaniMa Rais kutoka Marekani na Israel tu ndio hawajapanda mabasi..
hatujaona scene yote... huyu amekuwa interested na Africans, one can not tell for sure kuwa whites hawakuwa treated kama hawaKwenye hilo bus umemuona rais gani mzungu? Nionyeshe maraisi wazungu wakiwa kwenye basi
Kuna watu hupenda wakumbukwe kwa maswala mbalimbali, hasa yasiyokuwa ya kawaida; kama kumvizia Pope na kutaka kumuua.Ulinzi ulioandaliwa huko UK si wa mchezomchezo.Tusitangulize hofu.
Utetezi duni.Ma Rais kutoka Marekani na Israel tu ndio hawajapanda mabasi..
NgorikaSasa itakuwaje
Hapo nimekusoma ahsante kunielimisha!Mkuu huwa majibu ya hasira mpaka nitukanwe bila kosa
Kuna mdau kanitusi kisa nimeandika mawazo yangu
Huwa naingia forums nyingi na kuna ustaarabu wa hali ya juu
Turudi kwenye mada
[emoji636] kwa miaka 71 wametawaliwa na Malkia huyu huyu kwa hiyo wengi wanamjua huyu tu imagine tangu Winston Churchill
Kwa hiyo wana haki kuifanya ya kihistoria
Angalia Wafalme wangapi wamekuja na wengi wana uhusiano pia na falme ya hapa
Ni historia tu mkuu na hata protocol zingine zimevunjwa leo
Mwanaume utaweza kumtia mimba?watakutia mimba , muda mdogo ujao utakuwa mjamzito
We karani wa sensa unazo?Akili hamna na hamjawahi kuwa nazo
Hata Kama ila kiulinzi si kitu nzuri hii sijui walinzi wa hawa marais walikubali vipi jambo Kama hili!Ulinzi ulioandaliwa huko UK si wa mchezomchezo.Tusitangulize hofu.
Nimewasitiri Marais wetu 🤣🤣🤣Umekata paragraph ya mwisho inayosema EVERYONE ELSE😂😂 everyone else atapanda basi...ni marais 6 tu ndio wanamata wengine ni everyone else