Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
majiz ya kura kura yamechanganyikiwa 2025 lazima mkimbie nchi kwenda burundi wewe na mataga wenzio mnaosubir teuz kupitia jfKwa hiyo Ndio hicho kituko kinaweza kula 116? Majuzi makubwa nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majiz ya kura kura yamechanganyikiwa 2025 lazima mkimbie nchi kwenda burundi wewe na mataga wenzio mnaosubir teuz kupitia jfKwa hiyo Ndio hicho kituko kinaweza kula 116? Majuzi makubwa nyie
Naona amesahau. Hapo katikati 116 badala 11.6Mmmh mil 116 au sijasoma vizuri
Kwahyo pesa yetu ndio haina thamani kiwango hiki.
wanaofis wapi majengo ya serikali ni ofis zao kumbe kupaja rangi zao za kijinga kwenye majengo ya umma siku chadema ikiingia madarakan lazima tuwapige ban kama wale muslem brotherhood wa misri.Nyie mna maofisi maghorofa ila vikao vya chama mnafanyia ikulu.
Chadomo haina ramani za majengo yake ya ofisi za wilaya?
Kwa hiyo Hilo ghala ndio la mil.116? 😜😜😜😜😜
Hahahaha umejua kunichekesha kiongozi.Naona amesahau. Hapo katikati 116 badala 11.6
sio watanzania sema mazezeta ya ccm ambayo yameathiriwa na mwenge wa uhuru kichwani.Ila sisi watanzania nani ametuloga? Mbali na adha tunazo pitia ikiwemo ukosefu wa maji,umeme pamoja na huduma mbovu zinazotolewa na serikali,tupo tayar kujadili Minor issues..ambazo hazina impact zozote kwenye jamii zetu..
Tusipinge labda na kiwanja ukijumlisha siunajua ardhi ni gharama.Ndio hiyo hiyo mkuu..Hao ndio wanasema watapambana na ufisadi wa CCM 🤪🤪
Wezi nyie atawachagua Nani? Kama mnajiibia Hadi kwenye Mali zenu ,hizo za Umma itajuaje mkiwa custodian?majiz ya kura kura yamechanganyikiwa 2025 lazima mkimbie nchi kwenda burundi wewe na mataga wenzio mnaosubir teuz kupitia jf
chadema haiwez kuwa na utani na wauwaji wa azori gwanda na ungaunga upumbavu ikiwemo kukatika kwa maji na umeme majiz ya kuraHao ni watani, ndiyo maana huwa unafanyika uhamisho kutoka Chadema kwenda CCM na vice versa
Nyie takataka mumeshindwa kujibu hoja za Bashiru mnahangaika na Chadema ambayo mnadia siku zote imeshakufa , wapumbavu sana nyie.Habari wadau..
Chadema wanatia aibu Sana yaani kwa vijengo hivi vya Ofisi ndio wanashangilia na kujipiga kifua [emoji12][emoji12].
Jengo Ni baya Kama Godown/Store ya kutunzia Dagaa,Mbaya zaidi eti gharama Ni mil.116 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Kama mnavyojua muonekano wa nje wa kitu huakisi uwezo wa Akili na hulka yake..
Kama Ofisi tuu zimewashinda hiyo Nchi wataiongozaje? Where is value for money kwa hako kajengo ka 116?[emoji116]
akili za lumumba lazima ucheke maana akili zenu ni za nguruweHahahaha umejua kunichekesha kiongozi.
Wanajiita makamanda na kweli ofisi yao imefanana na vibanda vya walinzi maofisini
Tuko kwenye hoja ya kajengo ka mil.116,wewe unaona Ni sawa?Nyie takataka mumeshindwa kujibu hoja za Bashiru mnahangaika na Chadema ambayo mnadia siku zote imeshakufa , wapumbavu sana nyie.
Tuliza akili sio kila unaemuona humu ni CCM,Chadema au ACTakili za lumumba lazima ucheke maana akili zenu ni za nguruwe
chadema alikuibia wewe na familia yako chadema usiifananishe na wapuuz wa ccm mauwaji ya kukata watu na kuwaweka kwenye viroba, yamekuwa yakiwadanganya wajingawajinga kuwa hayapendi mabeberu huku yanapokea hela za mabeberu hio akili matope.Milion 116!!??? Ccm ni wezi na ata chadema ni wezi vile vile.