Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu
'Reasonable.' 'Fair enough'!

Lakini haitoshi. Nchi hii katika miaka ya hivi karibuni imesaini mikataba mingapi mibovu?

Chenge, bila ya aibu yoyote anawaambia watu kwamba "akiamshwa toka usingizini na kupewa mkataba mzuri au mbaya, atautambua mara moja".

Tumeshuhudia ni mikataba mingapi mibovu iliyosimamiwa na Chenge na hao mabingwa wa sheria unaowaandika hapa, kana kwamba tumepata malaika wapya siku za hivi karibuni.
"Ujuaji" una maana nyingi, tunapoona mambo yanayofanyiwa gizani, halafu na kuletwa mbele yetu kwa njia za udanganyifu, ukituita "wajuaji" kwa kubeza tunayoyaona yakisukumizwa kwetu kwa nguvu nyingi zisizo za kawaida, haituvunji moyo hata mara moja kutambuliwa kuwa "wajuaji".

Unajua, hao "madaktari" wa sheria unaotutishia nao, hawatustui kitu. Fisadi hata awe na udaktari wa aina gani, siku zote atabakia kuwa ni fisadi tu katika hali zote.
Zaidi ya kulalamika na kulialia hakuna hoja yoyote ya maana uliyoandika. Historia ya kina Chenge na wanasheria ya miaka ya nyuma haina uhusiano wowote na suala la DP World.
 
Zaidi ya kulalamika na kulialia hakuna hoja yoyote ya maana uliyoandika. Historia ya kina Chenge na wanasheria ya miaka ya nyuma haina uhusiano wowote na suala la DP World.
Loooh!
Mimi nimejibu uliyoandika wewe kuwahusu hao 'madaktari', unaotaka tuamini wao ni tofauti na mafisadi wengine, bado huoni pointi hiyo?
Kwani akina Chenge na wengi wengine waliosimamia mikataba mibovu hawakuwa wanasheria? Unanishangaza kama huoni pointi yoyote kama unavyodai.

Sawa, acha tulie lie, kama tulivyolialia siku zote na hii mikataba mibovu mnayotuletea nyinyi madaktari. Kulia lia kwetu juu ya uhujumu wa nchi yetu hakuwezi kutufanya tuone aibu kulialia. Tutaendelea kulialia. Nyinyi faidini.
 
Loooh!
Mimi nimejibu uliyoandika wewe kuwahusu hao 'madaktari', unaotaka tuamini wao ni tofauti na mafisadi wengine, bado huoni pointi hiyo?
Kwani akina Chenge na wengi wengine waliosimamia mikataba mibovu hawakuwa wanasheria? Unanishangaza kama huoni pointi yoyote kama unavyodai.

Sawa, acha tulie lie, kama tulivyolialia siku zote na hii mikataba mibovu mnayotuletea nyinyi madaktari. Kulia lia kwetu juu ya uhujumu wa nchi yetu hakuwezi kutufanya tuone aibu kulialia. Tutaendelea kulialia. Nyinyi faidini.
Tatizo unakariri kina Chenge na kuwalinganisha na kina Hamza Johari. Pia ipo tabia ya kudhani kuwa wanaopewa kazi za kuwasaidia viongozi wa juu na wao ni wezi au mafisadi.

Umenaswa kwenye mtego ule ule wa hukumu za jumla jumla, hukumu za hisia zaidi bila ya kujua ukweli wenyewe upo vipi.

Kusema nyinyi faidini ndio ushahidi wenyewe wa kuwa na fikra za kudhani kila anayemsaidia Rais ni mwizi, hizi ni fikra potofu sana.
 
Tatizo unakariri kina Chenge na kuwalinganisha na kina Hamza Johari. Pia ipo tabia ya kudhani kuwa wanaopewa kazi za kuwasaidia viongozi wa juu na wao ni wezi au mafisadi.

Umenaswa kwenye mtego ule ule wa hukumu za jumla jumla, hukumu za hisia zaidi bila ya kujua ukweli wenyewe upo vipi.

Kusema nyinyi faidini ndio ushahidi wenyewe wa kuwa na fikra za kudhani kila anayemsaidia Rais ni mwizi, hizi ni fikra potofu sana.
Sasa unanilazimisha nikudharau, kwa sababu naona huna kitu chochote cha ziada unachoweza kunieleza kuhusu mkataba huu wa Bandari.

Chukua muda, pumzisha akili. Njoo na hoja za maana tunazoweza kuzijadili hapa.

Umenishawishi sana sasa nikuone kuwa kumbe huna tofauti yoyote na hawa wengi wanaotafuta tu fursa za kujinufaisha wenyewe kwa mgongo wa wananchi wa nchi hii.
 
Sasa unanilazimisha nikudharau, kwa sababu naona huna kitu chochote cha ziada unachoweza kunieleza kuhusu mkataba huu wa Bandari.

Chukua muda, pumzisha akili. Njoo na hoja za maana tunazoweza kuzijadili hapa.

Umenishawishi sana sasa nikuone kuwa kumbe huna tofauti yoyote na hawa wengi wanaotafuta tu fursa za kujinufaisha wenyewe kwa mgongo wa wananchi wa nchi hii.
Mkataba unapotoshwa na wenye malengo binafsi machafu. Wanashindwa kugundua kwamba Kagame kajenga Dry Port kwao na yupo tayari kwa ajili ya DPW halafu sisi wenye bandari tunakuja na visa vya kuchekesha vya eti mwarabu aliua babu zetu.

Tunaleta hadithi za darasa la pili na la tatu katika dunia ya kibepari, dunia ya utandawazi isiyomsubiri mtu aamke.
 
Nihatari tukiaminishwa kwamba tunaibiwa na viongozi
 
Mkataba unapotoshwa na wenye malengo binafsi machafu. Wanashindwa kugundua kwamba Kagame kajenga Dry Port kwao na yupo tayari kwa ajili ya DPW halafu sisi wenye bandari tunakuja na visa vya kuchekesha vya eti mwarabu aliua babu zetu.

Tunaleta hadithi za darasa la pili na la tatu katika dunia ya kibepari, dunia ya utandawazi isiyomsubiri mtu aamke.
Sasa hoja hapa ni ipi hasa?

Tulazimishe mkataba wa hovyo kwa vile akina Kagame wamejenga bandari huko kwao?

Umesoma mkataba waliowekeana Kagame na hao wawekezaji ukajua masharti yao ndiyo hayo hayo tunayoingia sisi?

Huyo DP World anaingia mikataba inayofanana na nchi zote anazoshirikiana nazo?
Kama bado huoni ufinyu wa fikra zako kwa mawazo kama haya, sijui unataka uelezwe vipi? Unazidi kujionyesha uwezo hafifu sana juu ya haya maswala.

Ngoja niendelee kukuvumilia kidogo labda mwishowe nitaona la maana unaloamini.
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyonayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Muhunibtu Huyu, anatimiliza agenda yake ya kisiasa lakini anajua vizuri kuwa mkataba hauna shida hizo anazozisema ( kwa maana ya hivyo asemacho).
 
wenye bandari tunakuja na visa vya kuchekesha vya eti mwarabu aliua babu zetu.

Tunaleta hadithi za darasa la pili na la tatu katika dunia ya kibepari, dunia ya utandawazi isiyomsubiri mtu aamke
Hii hadithi yako inanirudisha kule kule kwa mwanzo nilipoanza kukusoma humu JF. Niliachana na fikra niliyoipata katika maandishi yako ya mwanzo kwamba ungekuwa na mlengo ule, baada ya mabandiko yako yaliyofuata baadae. Sasa unanirudisha kule kule kwa mwanzo tena mkuu "Steven"?

Nikueleweje?
 
Mkataba gani hauna muda kwamba unaanza lini na kuisha lini
Cholera! Wewe sijui Chotera .... wewe mkataba wako na umasikini mliingia wa miaka mingapi!
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyonayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Mbona yeye na mbowe waliiuza Chadema kwa Lowasa 2020!!!
 
Hakuna mwenye Akili Timamu na anayejitambua anayeweza kumsikiliza au kusikiliza maneno yanayotoka kwenye mdomo wa Tundu lissu ambaye Ni mtu mwongo ,kigeugeu,asiye na msimamo na asiyeeleweka anasimamia Nini.

Jiulizeni lissu alisema Nini juu ya lowasa miaka ya 2008-2015 July na akasema Nini kwa mdomo huo huo mwaka huo wa 2015? Lissu Ni Tapeli na mbabaishaji tu,ndio maana kwa Sasa watanzania wanampuuza na kudharau Sana kwa kuwa wametambua ya kuwa Ni mtu mwongo na mbabaishaji,mchonganishi na mwenye chuki binafsi.
Umesahau kuweka no zako mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmh! Watanzania unawafahamu vizuri mkuu? Hii ishu inaongelewa kwenye mitandao tu lkn mitaani watu wako bize na Yanga na Simba.

Tena hata mitandaoni huku, unaweza kukuta ni mtu mmoja mwenye ID 4 hapa JF halafu huyo huyo anaandika na Instagram, Twitter, Facebook, n k

Kuna haja ya dunia kufanya tafiti upya ili kujua aina ya binadamu wanaopatikana Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mjomba mtu kapewa lango la mbele la kuuingia mji.
Kibaya zaidi mji aliopewa lango ni wa nyumba aliopangishwa dadake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna mtu makini kwa sasa kuliko Lissu.

Nawe jaribu kujiongeza kidogo, swala hili la Bandari limeongelewa sana humu JF na nje ya hapo. Itakuwia vipi vigumu kutambua hadi sasa kwamba Bandari za Zanzibar hazihusiki? Hujui kuwa anayesimamia bandari Zanzibar ni Zanzibar Ports Corporation,(ZPC) na siyo Tanzania Ports Authority (TPA)?

Kiufupi ni kwamba Samia katika jambo hili anafanya hila za maksudi kabisa kunadi mali za Tanganyika, huku akiwatumia waZanzibar wenzake, huyo Mbarawa na Katibu Mkuu wa Wizara.
Watu hawawezi kupuuza hitimisho la namna hiyo, hasa kutokana na ulaghai mwingi unaoonekana kufanyika kufanikisha jambo hili.

Lakini jambo linaloshangaza hasa ni huyu Samia ujasiri huu wote anautoa wapi? Sidhani kuwa, pamoja na kuwa Rais wa nchi, angeweza kufikia uamzi wa namna hii yeye pekee bila ya kuwahusisha baadhi ya waTanganyika wenye nyadhifa kubwa, au waliowahi kushika madaraka makubwa ndani ya nchi hii.

Nakataa kabisa kabisa, kwamba hii siyo kazi ya Samia na vidagaa vidogovidogo, kama akina Msukuma. Hii ni kazi ya Mapapa haswa. Sasa tunawaona hata akina Roast wakijitokeza kutetea ujinga huu.
Cha kushangaza mpaka leo mwanasheria mkuu wa serikali hajawahi kujitokeza popote kuutetea mkataba wake, hii ni dhahili huu mkataba umeandaliwa na mpangaji na sio mwenye nyumba.
 
Kwangu ubinafsishaji ni sawa ila lugha inayotumika na kulitumia Kisiasa sio sawa, vipengele vinavyoleta shida viangaliwe ila sitaki kabisa Bandari ibaki Kwa Wabongo maana wanaitumia kama shamba la bibi na wanapitisha mizigo Kwa vimemo
Watu wote wenye akiri timamu tunataka hivyo lkn waliosani hayo hawayataki kuyasikia.
 
Hakuna mwenye Akili Timamu na anayejitambua anayeweza kumsikiliza au kusikiliza maneno yanayotoka kwenye mdomo wa Tundu lissu ambaye Ni mtu mwongo ,kigeugeu,asiye na msimamo na asiyeeleweka anasimamia Nini.

Jiulizeni lissu alisema Nini juu ya lowasa miaka ya 2008-2015 July na akasema Nini kwa mdomo huo huo mwaka huo wa 2015? Lissu Ni Tapeli na mbabaishaji tu,ndio maana kwa Sasa watanzania wanampuuza na kudharau Sana kwa kuwa wametambua ya kuwa Ni mtu mwongo na mbabaishaji,mchonganishi na mwenye chuki binafsi.
Bora ukalale kumchafua Lissu sio kazi nyepesi ni sawa nakutaka kumchafua Nyerere.Go Lissu
 
Hii hadithi yako inanirudisha kule kule kwa mwanzo nilipoanza kukusoma humu JF. Niliachana na fikra niliyoipata katika maandishi yako ya mwanzo kwamba ungekuwa na mlengo ule, baada ya mabandiko yako yaliyofuata baadae. Sasa unanirudisha kule kule kwa mwanzo tena mkuu "Steven"?

Nikueleweje?
Napinga tafsiri potofu sana za uwekezaji kwa kumhusisha mwekezaji na historia ya miaka ya 1880 huko, mambo yaliyotokea miaka zaidi ya 120 iliyopita.

Vipi kuhusu Mjerumani aliyeua wanamibia zaidi ya milioni mbili, ana ubinadamu kumzidi mwarabu?. mbona anatoa misaada dunia nzima mpaka kesho?.

Tuje na hoja za kumshindanisha hiyo DPW na makampuni mengine yanayofanya shughuli kama yake sio kurudi kwenye akili za kipuuzi za kujadili masuala ya enzi za utumwa.
 
Back
Top Bottom