Mimi hata sielewi maana huyu ni Mbunge mtaafu, vile vile ni Msaani maarufu Tanzania na E.Africa zaidi ya miaka 25 iliyopita prof Jay alikua akirindima katika midia mbali mbali hapa Nchini,Je hakufanya uwekezaji katika advantage alizojizoeleza katika jamii ya kitanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?

Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?

Ni bora tu wangeacha watu wamchangie na wao kama wanataka kumsaidia, basi wangechanga tu kama watu binafsi.
Hapana.ni bora hio michango achukue mkewe.Pesa haikosi matumizi.
 
Well said
 
Well said!!
 
god bless u wiziri wa Afya
 
Bima inasaidia kwenye dialysis
 
Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?

Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?

Ni bora tu wangeacha watu wamchangie na wao kama wanataka kumsaidia, basi wangechanga tu kama watu binafsi.
we umechangia tsh ngapi ndugu? unahos watanzania wote hali zetu zinafanana? wengine hata uwezo wa kumchangia 100 tu hatuna kwaiyo mtu afe? we unahis watanzania wangapi wangemchangia? na wewe umemchangia tsh ngapi mpaka unasema waache tu watu wachange? kama tuna moyo huo bas tuchangie wengine waliolazwa uko ma hospital
 
Tha haves and the have nots...

Tunamuombea apone insha'Allah!!
 
Kama hujui issue bora kukaa kimya.
Pesa zimechangwa na zinaingia kwenye simu n aakaunti ya Jey.
Ccm kuona hayo wameblock accounts za Jey na kukimbila Muhimbili kutoa tamko.. Huku mashahidi wana singizia kuugua baada ya kushindwa kujieleza.
Asante sana Lesiriamu, kwa uvunjaji ukimya huu,
Pande mbili sasa timamu, tumejua ya chama 'chetuu',
Chama kitie ngumu, kama chafanyiwa hila juu kwa juu,
Afya ya Prof Jey muhimu, katu himaya ya siasa kuwa utabibuu.
 
Ni bora tu wangeacha watu wamchangie na wao kama wanataka kumsaidia, basi wangechanga tu kama watu binafsi.
Ccm wana wasiwasi na nguvu ya chadema. Wamechukua uamuzi wa kumgharamia matibabu Prof J ili michango ya watanzania na wanavhadema isiendelee kuchangwa.

Wamehofia kampeni kubwa ambayo ingepigwa na chadema nchi nzima.
 
Ukijumlisha mishahara posho gratuity ni Zaid ya billion na nusu Mzee..
 
Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?

Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?

Ni bora tu wangeacha watu wamchangie na wao kama wanataka kumsaidia, basi wangechanga tu kama watu binafsi.
'I second you'...mpo sahihi kabisa....lazima bima ya afya kwa wote iwe kipaumbele.
 
Ikiwa mbunge mstaafu ambae alikuwa akipata marupurupu tele alipokuwa bungeni, na anaendelea kupata malipo mazuri ya serikalini kila mwezi anashindwa kujilipia matibabu, serikali haoini kuwa kuna haja ya kumfikiria mlala hoi juu ya malipo ya matibabu? Na kama sio kama hawezi kujilipia je ni kwa nini serikali imlipie na imuwache mlala hoi afe kwa kukosa pesa ya matibabu?
 
Safi sana kwa Serikali kutambua mchango wa Prof Jay kwenye music wa Tanzania
Ni unafiki tu hakuna chochote huyo wasanii na wanasiasa wenzako wako tayari kumtibu tunataka serikali itowe matibabu kwa watu wote bila ya kuangalia wasfu wa mtu tunataka universal health care kuanzia maradhi madogo mpaka makubwa.
 
Acha kushabikia dhulma hatukatai serikali kumtibu pro.j lakini wajibu wa serikali ni kuwatibu raia wake wote bila ubaguzi wa aina yoyote vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…