Kumbe matibabu ukiwa nje ya nchi ulaya ni bima tu ?

Ulipii pango ulipii Kodi ulipii chochote unaishi miaka 3 ulaya?

Unakula kwa bima unaishi kwa bima unasafiri kwa bima .

Uliza Kwanza ndungai alitibiwa vipi kwa Bilion 12 India.?
 
Yaani hapa umenena ukweli mtupu! Haya mambo yanawagusa moja kwa moja hata ndugu ,jamaa na watoto wao! Ni mwendawazimu tu ndiye atapinga hayo yote lakini wajuwe kile wanachoita kuisoma namba hakichagui itikati, jinsia wala kabila! Nina imani kubwa hata mamilioni ya wanaCCM kura zitaenda kwa Lissu, fanyeni hivyo mjikomboe!
 
Kumbe matibabu ukiwa nje ya nchi ulaya ni bima tu ?

Ulipii pango ulipii Kodi ulipii chochote unaishi miaka 3 ulaya?

Unakula kwa bima unaishi kwa bima unasafiri kwa bima .

Uliza Kwanza ndungai alitibiwa vipi kwa Bilion 12 India.?
Jibu hoja ya msingi watanzania wote wanaweza kugharamia Euro 275? Acha kuruka viunzi.
 
Tupeane ratiba basi jamani 😜😜😜😜 Spunda ndio mpango mzima
 

Attachments

  • image.jpeg
    7.4 KB · Views: 1
Kwani maendeleo ya watu yakoje? Maana hata nyumba bora ni maendeleo lakini ni kitu. Muwe mnatumia ubongo kabla ya kusapoti mambo. Kujenga hospital,sio maendeleo ya watu?
 


Jr[emoji769]
 
Itakuwa chini ya kiwango hicho kwasababu selikali yetu ya awamu ya sita chini ya kamanda lissu itasubsdize 20% kwa kila mtu.

Tutatumia mfumo wa PPP public private partnership kujenga miundombinu na kuweka tozo nafuu Kama daraja la NSSF kigamboni

ili fedha nyingi ya Kodi na mapato isaidie ustawi wa watu.
 
Nyumba inajengwaje wakati mtu hauna pesa mfukoni

Tukiwaita wapumbavu mnalialia

Pumbavu kabisa.
Ndio maana serikali inajenga hospital kwa kutumia pesa ili wananchi watibiwe. Hoja hapo ni kuwa nyumba inajengwa ili itumiwe na watu. Ndio maana ya maendeleo ya watu. Serikali inaboresha miundo mbinu,afya na elimu ili watu wanufaike. Tumia akili kabla ya kuandika upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…