Ukimchukia mtu zuri huwa baya na baya la unayempenda huwa zuri, nenda NHIF na laki nane urudi na bima! Kabla ya kulikataa jambo chunguza kwako likoje.
 
Hapa bima NHF ni 650,000 sawa na hiyo ya ubelgiji kwa maana hiyo maneno mengi ni burudani za kapeni tu
Maneno mengi utekelezaji 0 ili mradi mtaji wa kura umepatikana
NHIF uko huu zaidi ya hiyo na uzuri wake haupati baadhi ya tiba na kila mara huduma hubadilishwa, hivyo hapa kwetu iko kimapato zaidi.
 
Mkuu ukikuta wapumbavu wanaongea upumbavu wao ukitia mambo ya akili hawawezi kukuelewa maana wao huamini katika upumbavu wao.
Izingatiwe tu kwamba "ulofa na upumbavu si tusi ni sifa kama ulivyo unyonge!!"
 
Ukimchukia mtu zuri huwa baya na baya la unayempenda huwa zuri, nenda NHIF na laki nane urudi na bima! Kabla ya kulikataa jambo chunguza kwako likoje.
Ni milioni na ushei wao wanataka kutuambia ni 54,000!!!
 
Sidhani kama bima ya afya huko ulaya kwa mgeni tena liyeingia kwa VIZA ya matibabu kama inaweza kuwa chini kiasi hicho
 
Mwongo,alitibiwa kama mkimbizi new comer,hiyo hela kalipia registate fees matibabu ni bure labda euro 2 kumwona daktari na dawa akikuandikia utalipia,
Bima ya afya unapewa bure as long ni mfanyakazi
 
Kama unamwamini Lissu ujue una matatizo fulani ya akili. Huwezi kwenda hospitali unaumwa ndipo ukate bima kusudi utibiwe, inatakiwa uwe na bima kabla hujaugua. Mambo mengine ni vizuri kutoyasema tu
 
Sera haina kitu boss! Ni kama wimbo wa taifa. Kila wimbo unamsifu Mungu lakini kweli wanafuata ya Mungu?.
Ilan ni kitabu tu! Je, uonavyo ktk kundi la juu la CHDEMA kuna mtu wa kujua maana ya maendeleo? Lissu?, Mbowe?, Mnyika?, Mwalimu? Yani hayo madarasa kweli ndo yatuvushe? Noooo!
 
Hugo Tundu Lissu ameishapeleka bank statement ya akaunti yake kwa Mwenyekiti Mbowe? Kama bado anaogopa nini?
 
KWA sababu Ccm mmeshindwa kuisimamia democrasia ,haki na maendeleo ya watu naomba kura yako umpe Lissu

Watu wengii Ni waoga Ni wanafiki na kujipendekeza kwingi machoni wanacheka moyoni wanalia Hili kundi Ni kubwa wapo wafanyakazi wa umma, Wafanyabiashara ,wanafunzi na wengine wengi hawasemi tu ,hawaonekani kwenye mikutano ya kampeni lakini miyoyo yao Ina uchungu

Mimi Ni mmoja wao,uwezi kunikuta naongelea siasa mahali popote ,Sina kadi yeyote Ila KURA YANGU NITAMPA LISSU hata asipopita upande wa pili Kuna kitu watajifunza

Usikosee
 
Kiukweli kabisa jamaa ameweza kutuconvince kwa yale anayotaka kuwafanyia watz. Amejibu maswali vizuri bila muhemuko na kwa point. Uongozi ni kipaji na kweli tunaona anacho.
 
Atafafanua huko mbele. Vision kwanza, mission baadae.
 
We better vote for TAL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…