Ni kama umekutana na upako.Yaan jana nilikutana na Lissu live kidogo nizimie kwa furaha yule ni mtu wa ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama umekutana na upako.Yaan jana nilikutana na Lissu live kidogo nizimie kwa furaha yule ni mtu wa ajabu
Hiyo hiyo ndio imwagurumusha JPm na Samia siku nzima. Leo moody mbaya sana. Kule mama Maria kachomoa betri😅😅😅Baada ya issue ya risasi 16 kubuma sasa mmehamia kwingine
He will eventually fail.Makamba amepewa kazi ya ku coordinate wizi wa kura
Mama Maria ni shujaa wetu wa siku, bibi hongera sana.Hiyo hiyo ndio imwagurumusha JPm na Samia siku nzima. Leo moody mbaya sana. Kule mama Maria kachomoa betri😅😅😅
Sawa beberu mwenzangu, tuendelee kumchangia.Hahahaha LUMUMBA KICHWAN NI MATOPE.
T.LISSU SIO TAJIRI , Angeendesha kampeni bila ilo ,Alijua mtasema " Anapata wapi hela??huyu anafadhiliwa na mabeberu"
Akaamua kua Muombaji msaada ili kuwapoteza maboya kama nyinyi " Mabeberu?? Mbona anaomba msaada?kwann wasimsaidie?"".
KWA LUGHA NYINGINE, KWA KUFANYA IVI, ANAENDELEA KUWAONDOLEA WANANCHI MTAZAMO MLOWAJENGEA WA ET "ANAFADHILIWA", BADALA YAKE SASA, WANANCHI WANAJIKUTA WANAENDELEA KUMUONA LISSU KAMA MTU ANAYEONEWA, KUSINGIZIWA, NDIO MAANA HATA KAMPENI WANAMCHANGIA.
Mabeberu ndio sisi wananchi Tunaochanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kula kwa CCM kura kwa LissuMagufuli afanye lolote analofanya, zuri au baya lakini kura yangu yeye mbunge wake na diwani wake hawaipati ng'ooooooo.
Tulia, ukipewa chukua kura unaipeleka utakakoHako kanyongeza kametolewa fungu gani, ili na sisi huku mwamanyiri tupate kujua..
Vyovyote itakavyokuwa ila ccm wasitegemee kupata kura yangu hata siku moja. Labda wabadili jina la lichama laoKula kwa CCM kura kwa Lissu
Basi sawa angalau na mimi nikanywe chai ya maziwaTulia, ukipewa chukua kura unaipeleka utakako
Lissu haaminiki.Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Washabi wa chadema waje waseme hapa kwamba hilo liko swa au lah?Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!