Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.

Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Usiku watauza nini au ni ile biashara ya utamu?
 
Hatumchagui mtu anayetisha watu

IMG-20200906-WA0023.jpg
 
Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.

Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Masoko ya usiku au madanguro? Waambie no Kura no lami
 
Usiku watauza nini au ni ile biashara ya utamu?

Mji unaendelea na watu wanafaidika wanapopata huduma wakati wote....

TL hajaweka mkutano na machangudoa zilikuwa hamasa za wamachinga kutobughudhiwa na taratibu au mazoea ya Sasa na kuwahakikishia kuuza biashara zao wakati wote 24hrs...
 
Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.

Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo ya watu ni yale yanayomuwezesha mtu kufanya biashara ya moja kwa moja, ndege, reli na flaiova si maendeleo ya mtu moja kwa moja.
Soko ni banda linalokuwezesha kufanya biashara kivulini na sehemu salama.
 
Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.

Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Masoko ya jioni safi sana, hata mimi hilo wazo nilikuwa nalo hasa kwaajili ya matunda na mbogamboga
 
Washabi wa chadema waje waseme hapa kwamba hilo liko swa au lah?
Na kama liko sawa basi kuna haja ya kuendelea na magifuli kwa sababu CCM ISHAJEMNGA masoko ya machinga ila mengine walikataa kuingia humo kama dar?
Je yeye atawaingiza kwa nguvu?
Maana machinga anapenda kukaa sehemu anayo ona inafaa yeye kupata wateja.
Kwakuwa hamko tayari kufuata maelekezo ya wataalamu wa mipangomiji ili kuboresha na kulinda mazingira mmelitega bomu la wamachinga na litakuja kuwalipukieni.
 
Back
Top Bottom