Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu yuko very strategic and specific kama unamfatilia vyema.Alishalisema hili mkutano wa Kawe akalirudia tena mkutano wa Arusha.
Alichokifanya Lissu kwenye kila kanda ameweka matatizo specific yanayoisumbua lands husika.
Leo Mtwara kakazia sana suala la gas na korosho, kanda ya Seregeti na victoria alikazia zao la pamba na uvuvi pamoja na kuligeuza jiji la Mwanza kuwa business hub ya ukanda wa maziwa makuu.
Asomewe albadiri huyo mwiziMakamba amepewa kazi ya ku coordinate wizi wa kura
Baada ya issue ya risasi 16 kubuma sasa mmehamia kwingine
Sijui kwa nn yana akili kidogo yooote!Twaweza: "wanaccm walio wengi ni mbumbumbu".
Mleta mada wewe upo miongoni mwa wanaccm wachache.
Twaweza: "wanaccm walio wengi ni mbumbumbu".
Mleta mada wewe upo miongoni mwa wanaccm wachache.
Hii kitenge ulichoshonesha sare na wife mbona kama ni cha CCM ?Miye yangu machoView attachment 1561122
Alisema yeye kaletwa kwenye mkutano kw nguvu ili kuongeza idadi ya mahudhurio pia kasema yeye hana cha kusema kuhusu uchaguzi huu ila analazimishwa kuongea.Hivi alisemaje yule mama
When you are the incumbent seeking re-election you don’t run on new promises, but run on your past record” Politics 121.Baada ya issue ya risasi 16 kubuma sasa mmehamia kwingine
Afu mzuri hatari. Dimpoz kama zote😀🤗🙊Yaan jana nilikutana na Lissu live kidogo nizimie kwa furaha yule ni mtu wa ajabu
Alisema yeye kaletwa kwenye mkutano kw nguvu ili kuongeza idadi ya mahudhurio pia kasema yeye hana cha kusema kuhusu uchaguzi huu ila analazimishwa kuongea.
ingawa hakuna TV inayoonyesha mikutano yake, nashangaa hadi Rais Magufuli anamjibu Lissu. Ina maana kwamba atakuwa anamuangalia Lissu kupitia YouTube, WhatsApp au Facebook.
Jalalani ni neno alilotumia Waziri Kabudi, na Lissu alimjibu Rais Magufuli kazi awape watu wake wa Jalalani, ina maana ya wakina Kabudi. Mbaya Zaidi Magufuli na timu yake wanaondolewa kwenye SGR , Stigler, Midemge na sasa ni kumjibu Lissu tu. Nadhani sasa majuto ndio mjukuu, maana tunacheza nyimbo za wapinzani.
CCM tunapata aibu kubwa sana. Agenda zetu zimeyeyuka ghafla na aibu kila kona.
Siku hizi magufuli anasikiliza lissu kaongea nini kesho yake anajibu.
Imefika hatua kabla ya kupanda jukwaani Mzee Pombe badala ya kupitia Ilani ya CCM anapitia video za hotuba za Lissu ndiyo anapata cha kuongea jukwaani.
Na matokeo yake ndiyo Mzee Pombe anapanda jukwaani akiwa na jazba mno maana akila akiongea anakumbuka maneno ya Lissu aliyoyaona kwenye video za mikutano ya Lissu [emoji1787]
ingawa hakuna TV inayoonyesha mikutano yake, nashangaa hadi Rais Magufuli anamjibu Lissu. Ina maana kwamba atakuwa anamuangalia Lissu kupitia YouTube, WhatsApp au Facebook.
Jalalani ni neno alilotumia Waziri Kabudi, na Lissu alimjibu Rais Magufuli kazi awape watu wake wa Jalalani, ina maana ya wakina Kabudi. Mbaya Zaidi Magufuli na timu yake wanaondolewa kwenye SGR , Stigler, Midemge na sasa ni kumjibu Lissu tu. Nadhani sasa majuto ndio mjukuu, maana tunacheza nyimbo za wapinzani.
CCM tunapata aibu kubwa sana. Agenda zetu zimeyeyuka ghafla na aibu kila kona.
A
Maskini yale manyimbo ya Sgr na stigler yameisha?
Hujaona leo Magufuli alivyojaza mamilion ya watu kule Mwanza.Kusema ukweli tu kampeni za CCM safari hii zinafanana kama vile mkutano wa nabii Tito yule nabii punguwani asiyeeleweka hata ni jinsia gani yaani kampeni zimepauka kampeni zimefubaa . Kampeni zinatia huruma yaani hata watafanyaje hakika maji ya shingo CCM yamewafika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nadhani kuna kitu walienda kutazama sio kusikiliza Jiwe . 😂😂😂😂😂Hujaona leo Magufuli alivyojaza mamilion ya watu kule Mwanza.
Ccm inapendwa na vilaza wewe,