Usiku watauza nini au ni ile biashara ya utamu?Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Masoko ya usiku au madanguro? Waambie no Kura no lamiMgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee huna majawabu?Masikini mataga kwasasa wanaucheza mziki wa Lissu🤣
Maendeleo ya Vitu bwashee!Kwani Mzee Mgaya anasemaje?
Usiku watauza nini au ni ile biashara ya utamu?
Maendeleo ya Vitu bwashee!
Maendeleo ya watu ni yale yanayomuwezesha mtu kufanya biashara ya moja kwa moja, ndege, reli na flaiova si maendeleo ya mtu moja kwa moja.Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Acha kujitia aibu dogo!Maendeleo ya watu ni yale yanayomuwezesha mtu kufanya biashara ya moja kwa moja, ndege, reli na flaiova si maendeleo ya mtu moja kwa moja.
Soko ni banda linalokuwezesha kufanya biashara kivulini na sehemu salama.
Anayo yangu tayari japo sijawahi piga kura ila huu mwaka saa 11 nipo kwenye mstariLissu haaminiki.
Asipewe kura hata moja
Umeshaipoteza hiyo bwashee!Anayo yangu tayari japo sijawahi piga kura ila huu mwaka saa 11 nipo kwenye mstari
Masoko ya jioni safi sana, hata mimi hilo wazo nilikuwa nalo hasa kwaajili ya matunda na mbogambogaMgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Lissu haaminiki.
Asipewe kura hata moja
NEC, Wananchi wanatishiwa.
Kwakuwa hamko tayari kufuata maelekezo ya wataalamu wa mipangomiji ili kuboresha na kulinda mazingira mmelitega bomu la wamachinga na litakuja kuwalipukieni.Washabi wa chadema waje waseme hapa kwamba hilo liko swa au lah?
Na kama liko sawa basi kuna haja ya kuendelea na magifuli kwa sababu CCM ISHAJEMNGA masoko ya machinga ila mengine walikataa kuingia humo kama dar?
Je yeye atawaingiza kwa nguvu?
Maana machinga anapenda kukaa sehemu anayo ona inafaa yeye kupata wateja.
Hoja hujibiwa kwa moja, soko halina tofauti na duka, flaiova sijui inakulipaje mtu binafsi!Acha kujitia aibu dogo!
Endelea kujiaibisha dogo. Usifikiri wengine hawajui mnavyochemka!Hoja hujibiwa kwa moja, soko halina tofauti na duka, flaiova sijui inakulipaje mtu binafsi!