Lissu yuko very strategic and specific kama unamfatilia vyema.
 
Na hao MBUMBUMBU ndiyo matatizo makubwa sana Nchini na ndiyo wanaomvimbisha kichwa huyo asiyethamini utu wake hadi kufikia kujiita KICHAA.

Twaweza: "wanaccm walio wengi ni mbumbumbu".
Mleta mada wewe upo miongoni mwa wanaccm wachache.
 

Mtacheza sana . Yaani kwanza hii siku kumi zinazoisha kesho ni kama kifungua kinywa kwa lisu sasa baada ya hapo ndio wanaanza kuliamsha dude yaani.
 
Siku hizi magufuli anasikiliza lissu kaongea nini kesho yake anajibu.

Yaani meko ataita maji mma.
Hivi police unadhani hawajaumizwa na meko?
Hivi unadhani majaji hawajateswa na meko?
Hivi kwa akili yako unadhani walimu wana furaha na meko?
Alafu meko mwenyewe hajiulizi mtu kupona lisasi 16 mwilini unadhani ni jambo rahisi?
Yaani huyu mtu ni Mungu anataka kuikomboa hii tanzania [emoji1241] kuwe na total and fully freedom.
Na slogan yake haijawahi tokea .
Kwanza hana presha ya kuibiwa kura kwasababu jamaa amejiandaa kwelikweli.
 

Hatari na nusu
 
Kusema ukweli tu kampeni za CCM safari hii zinafanana kama vile mkutano wa nabii Tito yule nabii punguwani asiyeeleweka hata ni jinsia gani yaani kampeni zimepauka kampeni zimefubaa . Kampeni zinatia huruma yaani hata watafanyaje hakika maji ya shingo CCM yamewafika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Anapiga chabo.. [emoji1][emoji1]
 
Hujaona leo Magufuli alivyojaza mamilion ya watu kule Mwanza.

Ccm inapendwa na vilaza wewe,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…