Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Nothing lasts longer , Lissu akidhulumiwa hakutakuwa na mswalie mtume
adhulumiwe nini? , huwezi shinda urais bila kuweka base kweny mashina, yaani vijijini huko, zunguka vijijini uone namna watu wengi walivyo kuwa CCM, vyama vya upidhani wanadhani mitandao,vijana mijini tena wale oya oya ndo base ya ushindi, bila kuwekeza kufungua matawi ya chama kila kijiji na mpaka vitongoji wasahau
 
adhulumiwe nini? , huwezi shinda urais bila kuweka base kweny mashina, yaani vijijini huko, zunguka vijijini uone namna watu wengi walivyo kuwa CCM, vyama vya upidhani wanadhani mitandao,vijana mijini tena wale oya oya ndo base ya ushindi, bila kuwekeza kufungua matawi ya chama kila kijiji na mpaka vitongoji wasahau
ukifahamu sababu ya ccm kujipa ushindi wa serikali za mitaa bila uchaguzi , huu uchafu wako utaufuta na utakimbia kwa aibu , chama kinachoungwa mkono vijijini kinaogopaje uchaguzi wa vijiji ?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yaan inchi wachukue chadema?!!! ,bandali,TRA watafanya shamba la bibi, full kupiga, wabunge wao nguli, Sungu, sjui unampa wizara gani?; Mde,Lema, haki ya nani inchi wanauziwa wazungu
 
Mimi binafsi nitamchagua Tundu Lissu maana anagusa maisha yangu moja kwa moja kwa kusisitiza maendelea ya watu na sio vitu..

Miaka 60 ya Uhuru tunajisifia barabara? Na madaraja?

Miaka 60 ya Uhuru tunajisifia kujenga shule na zahanati tulikuwa wapi siku zote wakati watawala ni wale wale?

Miaka 60 CCM wanajisifia kupeleka umeme vijijini tulikuwa wapi miaka yote ?

Huu ni udhaifu wa CCM na Serikali yake miaka yote walikuwa wapi?.

Maji, Umeme, barabara sio masuala ya kutuletea hapa Kama mapya kwani kila siku tutajenga na tutaendelea kujenga kwa sababu tunalipa Kodi kwa kazi hizo.

Tunataka sera mpya zinazogusa maendeleo ya watu na sio vitu.

Lissu kaja na Dawa yake Bima ya afya kwa kila mtanzania

Kuifumua TRA ambayo Ni joka la mdimu kwa Taifa ili

Kuzifumua mifuko za hifadhi za jamii

Kutowakopa wakulima mazao yao

Mimi Ni Nani staki mabadiriko haya kwenye haya maisha mafupi kiasi hiki?

Labda mpumbabu tu ndiye atakataa hizi hoja na sera za Lissu.
 
Mimi miaka yangu yote nilikuwa napigia ccm kura yangu ila 2015 nimepiga kura kwa mala ya mwisho na majuto juu

Kwa sasa Lissu ajiandae kuingia Ikulu akijua kuna kura za walokuwa CCM mamilioni na sasa ni CHADEMA imezama mioyoni
 
Mimi binafsi nitamchagua Tundu Lissu maana anagusa maisha yangu moja kwa moja kwa kusisitiza maendelea ya watu na sio vitu..

Miaka 60 ya Uhuru tunajisifia barabara? Na madaraja?

Miaka 60 ya Uhuru tunajisifia kujenga shule na zahanati tulikuwa wapi siku zote wakati watawala ni wale wale?

Miaka 60 CCM wanajisifia kupeleka umeme vijijini tulikuwa wapi miaka yote ?

Huu ni udhaifu wa CCM na Serikali yake miaka yote walikuwa wapi?.

Maji, Umeme, barabara sio masuala ya kutuletea hapa Kama mapya kwani kila siku tutajenga na tutaendelea kujenga kwa sababu tunalipa Kodi kwa kazi hizo.

Tunataka sera mpya zinazogusa maendeleo ya watu na sio vitu.

Lissu kaja na Dawa yake Bima ya afya kwa kila mtanzania

Kuifumua TRA ambayo Ni joka la mdimu kwa Taifa ili

Kuzifumua mifuko za hifadhi za jamii

Kutowakopa wakulima mazao yao

Mimi Ni Nani staki mabadiriko haya kwenye haya maisha mafupi kiasi hiki?

Labda mpumbabu tu ndiye atakataa hizi hoja na sera za Lissu.
Maendeleo ya watu mtayapata vipi bila kuwa na vitu mmetiwa chaka!
 
Nimejaribu kupekua mafaili yote ya wizi na ufisadi ndani ya Nchi hii yaliyojaa kila ofisi lakini sikufanikiwa kuona andiko hata liliofutika linaloeleza kashfa ya Mgombea Urais wa Chadema ambaye pia ni Rais Mtarajiwa wa Tanzania Mh Tundu Lissu.

Huyu mtu ni msafi kama theluji , hajawahi kudokoa , kudhulumu chochote popote , hajawahi kudhulumu nyumba ya Serikali wala ya mtu yeyote , hajawahi kuiba mtumbwi wa mtu, hajawahi kudhulumu boti ya uvuvi pale feri wala hajawahi kuiba Meli yoyote , ni mtu asiye na makandokando yoyote .

Tunaamini kwamba ameletwa na Mungu Mwenyewe kuja kuleta Uhuru kamili ndani ya nchi hii na amekuja kuleta furaha iliyotoweka kwa zaidi ya miaka mitano
View attachment 1558038

Ukifuatilia sera yake ya Elimu utagundua kwamba ameletwa maalum kuboresha elimu ya nchi hii ambayo mara zote imeshindwa kumkomboa mwanafunzi
View attachment 1558041

Wananchi wote wamemkubali na wameapa kumpa kura zao ili awaondolee dhiki kwa kuleta maendeleo ya kweli ya watu wa nchi hii
View attachment 1558044

Njia pekee ya kumdhibiti mtu huyu kutwaa Urais wa Tanzania ilikuwa ile ya risasi 38 iliyofeli baada ya Mungu aliye hai kuikataa , na sasa tunahesabu masiku machache kabla ya Tanzania kujitwalia Uhuru kamili .

Mungu mbariki Tundu Lissu
MUNGU wetu ni mwema kumponya
IMG_20200828_203405.jpeg
 
Jana mh Lissu alivyokuwa tabora alisema anatamani nasisi tupate huduma nzuri ya afya kama aliyopata yeye Ubelgiji, kwa kweli ni jambo jema sana. Kasema alivyofika huko aliuliza sasa gharama itakuwaje? akaambiwa alipie Euro 275 tu na atatibiwa kwa mwaka mzima, kwa exchange rate ya leo euro moja ni sawa na Tshs 2748.07, kwa maana nyingine alilipia Tshs 756,000/=. Hiyo ndio bima ya watu wa kawaida wa Ubelgiji.

Lakini juzi Mh Lissu alivyokuwa Shinyanga alilalamika JPM kumnyima hela ya kutibiwa kwa maana nyingine alinyimwa Euro 275. Sitaki kuamini hayo alifanyiwa. Hoja yangu ni kama kila mtanzania atalipa euro 275 naamini huduma zetu zitakuwa bora sana ikiwezekana zaidi ya huko Ubelgiji lakini watanzania wangapi wenye huo uwezo wa kulipa euro 275?

Je, hii ndio bima nafuu anayo tuhabarisha huyu mheshimiwa? Wazo lake ni jema tatizo uwezo wa watanzania kumudu ndio shaka ilipo? Na ukiwa huna maana yake ufe, au? kwa sasa kama hauna bima kumwona daktari ni bure na matibabu ni bure katika zahanati za umma na vituo vya afya.
 
Back
Top Bottom