Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Huna lolote weweWewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote weweWewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Umbea unaongea wewe na mgombea wako wa chatoLissu aache kuongelea umbea jukwaani
Mwambieni yeye hagombei udiwani anagombea Urais
Kama hujamwelewa kaa kimya.Kwani mikataba inabandikwa kwenye magazeti kama Lissu anavyotaka? Bunge ndio wananchi na wabunge huwa wanaiona maana sheria inasema inatakiwa kupelekwa bungeni.
Umbea unaongea wewe na mgombea wako wa chato
Ok sijamuelewa, anasema mikataba iwekwe wazi kwa namna gani?Kama hujamwelewa kaa kimya.
Kumbe unamsikiliza basi tunahitaji kura yako usifanye kosaLissu aache kuongelea umbea jukwaani
Mwambieni yeye hagombei udiwani anagombea Urais
Mmeishiwa hoja mmebaki na virojaLissu awe mwanataarabu
Lisu aende Rufiji tu pale ulipo mradi awaambie wananchi hauna faida halafu aombe kura aone kitakachofuata akitoka akutane na wenye viwanda awaambie miradi ya umeme ya Magufuli ni ujinga mtupu aendeleze watu aache kuhangaika na Stigler Gorge aone kitakachomkuta akitoka aende chato akawaambie mradi wa uwanja wao wa ndege hauna faida aombe kura aone muziki wake akitoka hapo aende kwa wasukuma akawaambie ndege hazina faida kwa mtu wa kawaida aone muziki wakeYaani mradi wa JNHPP hauna manufaa kwa taifa letu? Ndio sindano hizo unaita.
Kweli kabisaaa ni HADHINA ya taifa la ufipa.Lissu ni hadhina ya taifa.
Ditto Bulendo ana maswali mazuri sana yanayoonyesha si tu anajua kazi yake,bali ni mfuatiliaji mzuri wa namna nchi inavyoendeshwa
Kumbe unamsikiliza basi tunahitaji kura yako usifanye kosa
Wanaelewa Kisukuma tu labda kidogo Kitutsi lakini Kiswahili hata wenye PhD wa kule kinawapiga chenga. Tungoje wafike Bukoba wakamwage sera kwa Kisukuma wataelewana tu lakini Ruangwa wajiandae kufukizwa.Jibu hoja. Kama haumwelewi Lissu basi wewe ni mbumbumbu. Lugha rahisi sana. Lissu ni zaidi ya mwalimu. Kama hautaki kuelewa hauwezi kulazimishwa kuelewa. Kama umesikiliza ujumbe umeupata.
☝️Mwambieni Lisu Kama Miradi yaaliyotekekeza mibaya akaiongelee pale ilipo Kama Ni zahanati akaongee ilipo Kama Ni barabara akaongelee ilipo Kama ni hospital akaongelee ilipo nk aache kuongelea sijui reli akiwa bagamoyo sijui stigler gorge akiwa ikungi kijijini Kwao kwa watumia vibatali !! Kama yeye kidume Kweli