Harikaaa thinyelani
 
Kwani shida ni Bandari au ni Uarabu??πŸ˜†πŸ˜†
 
Upuuzi mtupu.
Wewe nini wewe jiandae kuificha sura yako utachekea kwenye shimo la choo mnataka mtuongize kwenye mikataba MIBOVU ikibuma mnataka tulipe sisi alafu mlivyo mazuzu mnaleta habari za udini wakati kinachongelewa sio issue ya dini
 
Pro dikteta.

Nchi bila demokrasia kwa Afrika ni hakuna kitu. Rushwa na ufisadi ndio ngao ya vyama tawala.

Huyo Jpm alitupuga 1.5T huku akijiita Mzalendo
 
Wewe huna cha kuniambia mnalazimisha kataba BOVU nani analitaka hilo kataba BOVU nyie wezi wakubwa mliojificha kwenye kivuli cha udini PUMBAVU kabisa, unaambiwa mkataba MBOVU unaleta habari za udini nimeshakwambia sikuelimishi tena wewe Mbumbumbu
Teh teh teh teh.
Nadhani utakuwa umejifunza leo kuwa km huna elimu usije hapa kuandika utumbo unaotaka wewe. Utaadhirika km hivi ulivyo adhirika leo.

Haya kakojoe ulale. Wacha wenye kutaka kujua waje tuwape Darsa mujarrabu
 
Pagumu Baraza Hilo Na Bado Lile Lilitomtetemesha Jiwe
Kama Unamumbuka Aliambiwa Kanisa Halitishwi/Halitatishika
Archbishop WA KKKT
Kanisa kama ni la Mungu halitishiki. Kama ni la wachumia tumbo utasikia.....usichanganye dini na siasa.

Tangu enzi na enzi dini siasa ni kitu kimoja.
 
Tangu mwanzo mliambiwa kujibu hoja za Mkataba mkapandikiza Udini na Bigshow na Akina Faiza Fox.

Haya sasa ngome hiyo ichezeni sasa tuone.πŸ˜†πŸ˜†
 
Teh teh teh teh.
Nadhani utakuwa umejifunza leo kuwa km huna elimu usije hapa kuandika utumbo unaotaka wewe. Utaadhirika km hivi ulivyo adhirika leo.

Haya kakojoe ulale. Wacha wenye kutaka kujua waje tuwape Darsa mujarrabu
Sawa Mbumbumbu
 
Kwani shida ni Bandari au ni Uarabu??πŸ˜†πŸ˜†
Kwa Watanzania wengi wazalendo na wapenda maendeleo na haki hatuna shida kabisa na waarabu wala wazungu.
Lkn WAKRISTO wachache wakiongozwa na MAASKOFU na Viongozi wa makanisa wanachuki na waarabu sababu ya UISLAMU TU.
Hakuna kingine.

Wanasahau kuwa kuna waarabu milion kadhaa ambao ni WAKRISTO tena wa kuzaliwa huko huko ukristo ulikoanzia.

Hapo ndio ujue hao wenye chuki na waarabu wote HAWANA ELIMU WALA BUSARA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…