political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Waroma ni watu kama walivyo wewe acha kuwakuzaKwa kifupi serikali ya CCM hipo kwa sababu roma hawajai hikataa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waroma ni watu kama walivyo wewe acha kuwakuzaKwa kifupi serikali ya CCM hipo kwa sababu roma hawajai hikataa .
Hilo liko wazi.Hiyo kampuni ni nzuri zaidi hata kuliko ulivyoieleza,ila kwenye mkataba kuna vipengele kadha wakadha k.m ilivyoelekezaa na TLS vinapaswa kurekebishwa
Kweni kuwa CHADEMA kunazuia mawazo yangu huru?We si ulihama CCM ?
Kuna watu wanakosoa eti Kanisa lisichanganye dini na siasa! Hivi dini na siasa unazitenga vipi? Kwa upande wa Waislamu Mtume Muhammad alipopigana vita vingi 1. Uhud, Khandak, Badr, na Hunayn, je alichanganya dini na siasa? Kwa Wakristo Yohana mbatizaji alimkemea mtawala Herode kwa uovu wa kumuona mke wa ndugu yake akakatwa kichwa, (Marko 6:18), Daniel alikataa amri haramu ya utawala wa Darius (Daniel 6:13) akatupwa kwenye shimo la Simba.Tiini mamlaka ya watawala hata kama ni ya haramu? Kwa kifupi dini na siasa unazitenga vipi?Kwa kweli kanisa limetuwakilisha vizuri sana Watanzania kuliko serikali yetu.
Wewe nani hata usiwasilize unaowaongoza?!
Kanisa tunaomba msiishie tu kutoa maoni.
Raisi anahangaikia watanzania wengi saana. Na vikundi vya dini na imani ni vingi saana. Raisi wangu samia chapa kazi uwekezajiii huuu utakapoleta faida kwa watanzania, watakao nufaika ni hata hao maasikofu.Hakika yametimia. Rais Samia tanguliza hekima. Amina
Asikufanyeje? 🤣Usiniquote we Mbumbumbu
Askofu anaeweza kukuzia maji ya dawasa akakuaminisha wewe kuwa ni maji ya uzima wa milele na ukanunua kijiko kimoja shs elf 50 huyo sio mjinga hata kidogo.Maaskofu na wewe nani mjinga?
Mbumbumbu weAsikufanyeje? 🤣
Ona hii MbumbumbuAskofu anaeweza kukuzia maji ya dawasa akakuaminisha wewe kuwa ni maji ya uzima wa milele na ukanunua kijiko kimoja shs elf 50 huyo sio mjinga hata kidogo.
Nadhani mjinga unamjua
Nawewe unaweza kuwa atheistTanzania ni Secular Democracy hawa viongozi wa Dini wasilivuruge Taifa
Ndio Maana Wazungu wanazidi kuwa ma Atheist
Mbona unarudia kuniquote mara mbili mbili?Askofu anaeweza kukuzia maji ya dawasa akakuaminisha wewe kuwa ni maji ya uzima wa milele na ukanunua kijiko kimoja shs elf 50 huyo sio mjinga hata kidogo.
Nadhani mjinga unamjua
Dini ni Opium wake up mdauNawewe unaweza kuwa atheist
Hakuna mwenye hiyo jeuri ya kupambana na Kanisa la Mungu na kushinda.Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868
Acha ujinga. ccm waibe mali za umma afu mseme ya kIzari. Watu wakae kimya nooooTafakuri Tunduizi kuhusu tamko la Maaskofu
Tamko la maaskofu linesema SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU mimi nawakumbusha tu ya KAIZARI AACHIWE KAIZARI na ya MUNGU APEWE MUNGU
Nimelisoma TAMKO LA MAASKOFU na mimi nimeona mambo haya
Mimi nlichoona:
Badala ya kutoa maoni kwamba mkataba urekebishwe (kitu ambacho watanzania walio wengi ndio wanachotaka) tamko linataka huu mkataba uachwe kabisa, yani usiendelee hapa KANISA LIMEIBGILIA SERIKALI kutimiza wajibu wake maana wameipa amri serikali iachane mara moja na huu mkataba ikiwa serikali itauacha huu mkataba wa uwekezaji ni dhahiri kuwa ile kauli ya ALMARHUM SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU rahimallahu kuwa nchi hii KANISA LINA NGUVU KULIKO SERIKALI na hapo ndipo MFUMO KRISTO UNADHIHIRI kwa kuonesha nchi hii inaendeshwa na KANISA
Cha pili: Tamko linataka Bandari tuiendeshe wenyewe, kimsingi na kwa spidi ya sasa kama watanzania bado hatuwezi kuendesha bandari na kufikia viwango hitajika
Cha Tatu: ukiangalia namba 4, tamko linasema “ tukiweka ubia na makampuni yenye ubobezi wa kiteknolojia kutoka sehemu mbalimbali duniani, na sio ubia kutoka nchi moja, tukiweka mikataba yenye tija”..
Hii inamaanisha bado tunahitaji uwekezaji.. sasa tamko linaposema sio uwekezaji wa nchi Moja, kwani Ticts ilikuwa ya nchi ngapi? Si walikuwa wachina pekee? , na tamko linaposema nchi mbali mbali duniani, Dubai(UAE) si ni mojawapo ya nchi zilizopo duniani kama ilivyokuwa China kuendesha Ticts kwa miaka 30?
Hili tamko nadhani lingesema vipengele vya mkataba viwekwe sawa.
Na linapokuja swala la ubobezi, Hata huko Europe na Marekani wanamtumia huyohuyo DP sasa sijui tamko linataka ubobezi gani?!
Kingine, tamko linaposema makampuni ya ndani binafsi ndo yaingie ubia na wawekezaji wa nje, tayari serikali imeshapoteza, wakati sekta kama hizi lazima serikali yenyewe iingie makubaliano na mwekezaji moja kwa moja ili kuwe na direct control, kuliko kupitia kwa kampuni binafsi
Mwisho bila kupepesa maneno, hili tamko halimtaki Mwarabu awekeze, ila kwa kusema “ kutoka sehemu mbali mbali duniani” ni dhahiri kwamba ingekuwa ni nchi ambayo haitoki ukanda wa mashariki ya kati kama Ulaya, basi hili tamko lisingetoka, kama ambavyo halikutoka kwenye mikataba mibovu ya madini, ununuzi wa ndege, na mikataka mingine mibovu. Nadhani baraza la MAASKOFU wanataka kutwambia kuwa itakuwa vizuri zaidi mwekezaji akitoka Vatican au Ulaya na iwe kampuni ya Wazungu Wakristo ila tu wamejificha nyuma ya kichaka wanachokijua wao,
Hapa kanisa limekumbuka kauli ya SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU ila wamesahau ya
Kaizari aachiwe kaizari na ya Mungu apewe Mungu
Hebu turudi nyuma kwenye historia Kanisa ndani ya nchi hii linapata wapi Moral authority wakati kanisa hilo haohao TEC na CCT walisaini mkataba na serikali 1992 wa kula mabilioni ya PESA maarufu kwa jina la MoU
Mkataba wenye masharti magumu tu kuwa kulipo na hospitali za kanisa serikali isijenge za kwake ipeleke wafanyakazi hapo na mishahara ya hizo hospitali za kanisa itoke serikalini hii ni hatari sana
Serikali imeanza kujenga hospitali zake kila wilaya hili kwao limekuwa tatizo kubwa sana
Hebu tujikumbushe machache kuhusu KANISA NA KADHIA MBALIMBALI ZA TANZANIA
Tutakwenda hivi kwa amri ya Maaskofu hadi lini?
Maaskofu hawaitaki historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa kuwa inawaweka Waislam juu, historia hii ikafutwa.
Ushahidi upo.
Maaskofu hawakuitaka East African Muslim Welfare Society (EAMWS) matokeo yake ikapigwa marufuku kwa amri ya serikali mwaka wa 1968 kwa kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu cha Waislam.
Ushahidi upo.
Maaskofu hawakupenda kuona Waislam wanaelimika zikafanywa kila aina ya mbinu kuhakikisha kuwa watoto wa Waislam hawapati elimu ya sekondari wala Chuo Kikuu.
Ushahidi upo.
Maaskofu hawakutaka Organisation of Islamic Conference (OIC) ijenge Chuo Kikuu Tanzania katika miaka ya 1970 na kweli chuo hakikujengwa.
Chuo kikapelekwa kujengwa Mbale, Uganda.
Maaskofu wakakataa Zanzibar kujiunga na OIC na haikujiunga.
Ushahidi upo.
Maaskofu wamekataa kuzirejesha Mahakama za Kadhi zilizovunjwa mwaka wa 1963 na mahakama hakika hazikurejeshwa.
Ushahidi upo.
Yapo mengi lakini tutafakari haya kwa sasa.
Tanzania hii itaendeshwa kwa matakwa ya Maaskofu hadi lini?
JE NCHI HII BAADA YA KUSAINI MoU mwaka 1992 na makanisa ndio makanisa yamepata idhini ya kuiendesha Tanzania?
Na huu ndio MFUMO KRISTO UNAVYOENDESHA TANZANIA
WATANZANIA WENZANGU
Nawaasa tuiache serikali ifanye kazi yake ina vyombo vyake na wataaalamu wake tuliheshimu bunge na serikali katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa Watanzania
Sisi Watanzania WAZALENDO wenye nchi hii tunasema
Kazi iendeleeeeeeee
Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app