Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Ktk Historia ya Nchi hii toka 1961 hakuna tukio lolote ambalo KANISA likajitokeza kuingilia BILA KUWA NA MASLAHI YAO BINAFSI.

Toka wakati ule nyerere miaka ya late 67 wakati wa ulipaji wa kodi za mapato.
Mpk leo kwenye Suala hili la Bandari

Hata siku moja MAASKOFU hawajawahi kuingia issue kubwa kwa maslahi wa WANANCHI WOTE bali always ni MASLAHI YA KANISA.

Sasa isije kuwa hawa MAASKOFU WANATUMIWA NA WAZUNGU kwa kutumia jina la KANISA ili watuharibie mikataba mizuri yenye faida ya Taifa letu ili wazungu wazidi Kutunyanyasa na mikopo yao.

Wananchi wa Tanzania hasa wakristo tafadhali sana waambieni hao viongozi wenu wakae mbali .
 
Tafakuri Tunduizi kuhusu tamko la Maaskofu

Tamko la maaskofu linesema SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU mimi nawakumbusha tu ya KAIZARI AACHIWE KAIZARI na ya MUNGU APEWE MUNGU


Nimelisoma TAMKO LA MAASKOFU na mimi nimeona mambo haya

Mimi nlichoona:
Badala ya kutoa maoni kwamba mkataba urekebishwe (kitu ambacho watanzania walio wengi ndio wanachotaka) tamko linataka huu mkataba uachwe kabisa, yani usiendelee hapa KANISA LIMEIBGILIA SERIKALI kutimiza wajibu wake maana wameipa amri serikali iachane mara moja na huu mkataba ikiwa serikali itauacha huu mkataba wa uwekezaji ni dhahiri kuwa ile kauli ya ALMARHUM SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU rahimallahu kuwa nchi hii KANISA LINA NGUVU KULIKO SERIKALI na hapo ndipo MFUMO KRISTO UNADHIHIRI kwa kuonesha nchi hii inaendeshwa na KANISA

Cha pili: Tamko linataka Bandari tuiendeshe wenyewe, kimsingi na kwa spidi ya sasa kama watanzania bado hatuwezi kuendesha bandari na kufikia viwango hitajika

Cha Tatu: ukiangalia namba 4, tamko linasema “ tukiweka ubia na makampuni yenye ubobezi wa kiteknolojia kutoka sehemu mbalimbali duniani, na sio ubia kutoka nchi moja, tukiweka mikataba yenye tija”..

Hii inamaanisha bado tunahitaji uwekezaji.. sasa tamko linaposema sio uwekezaji wa nchi Moja, kwani Ticts ilikuwa ya nchi ngapi? Si walikuwa wachina pekee? , na tamko linaposema nchi mbali mbali duniani, Dubai(UAE) si ni mojawapo ya nchi zilizopo duniani kama ilivyokuwa China kuendesha Ticts kwa miaka 30?

Hili tamko nadhani lingesema vipengele vya mkataba viwekwe sawa.

Na linapokuja swala la ubobezi, Hata huko Europe na Marekani wanamtumia huyohuyo DP sasa sijui tamko linataka ubobezi gani?!

Kingine, tamko linaposema makampuni ya ndani binafsi ndo yaingie ubia na wawekezaji wa nje, tayari serikali imeshapoteza, wakati sekta kama hizi lazima serikali yenyewe iingie makubaliano na mwekezaji moja kwa moja ili kuwe na direct control, kuliko kupitia kwa kampuni binafsi

Mwisho bila kupepesa maneno, hili tamko halimtaki Mwarabu awekeze, ila kwa kusema “ kutoka sehemu mbali mbali duniani” ni dhahiri kwamba ingekuwa ni nchi ambayo haitoki ukanda wa mashariki ya kati kama Ulaya, basi hili tamko lisingetoka, kama ambavyo halikutoka kwenye mikataba mibovu ya madini, ununuzi wa ndege, na mikataka mingine mibovu. Nadhani baraza la MAASKOFU wanataka kutwambia kuwa itakuwa vizuri zaidi mwekezaji akitoka Vatican au Ulaya na iwe kampuni ya Wazungu Wakristo ila tu wamejificha nyuma ya kichaka wanachokijua wao,

Hapa kanisa limekumbuka kauli ya SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU ila wamesahau ya

Kaizari aachiwe kaizari na ya Mungu apewe Mungu

Hebu turudi nyuma kwenye historia Kanisa ndani ya nchi hii linapata wapi Moral authority wakati kanisa hilo haohao TEC na CCT walisaini mkataba na serikali 1992 wa kula mabilioni ya PESA maarufu kwa jina la MoU

Mkataba wenye masharti magumu tu kuwa kulipo na hospitali za kanisa serikali isijenge za kwake ipeleke wafanyakazi hapo na mishahara ya hizo hospitali za kanisa itoke serikalini hii ni hatari sana

Serikali imeanza kujenga hospitali zake kila wilaya hili kwao limekuwa tatizo kubwa sana

Hebu tujikumbushe machache kuhusu KANISA NA KADHIA MBALIMBALI ZA TANZANIA

Tutakwenda hivi kwa amri ya Maaskofu hadi lini?

Maaskofu hawaitaki historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa kuwa inawaweka Waislam juu, historia hii ikafutwa.

Ushahidi upo.

Maaskofu hawakuitaka East African Muslim Welfare Society (EAMWS) matokeo yake ikapigwa marufuku kwa amri ya serikali mwaka wa 1968 kwa kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu cha Waislam.

Ushahidi upo.

Maaskofu hawakupenda kuona Waislam wanaelimika zikafanywa kila aina ya mbinu kuhakikisha kuwa watoto wa Waislam hawapati elimu ya sekondari wala Chuo Kikuu.

Ushahidi upo.

Maaskofu hawakutaka Organisation of Islamic Conference (OIC) ijenge Chuo Kikuu Tanzania katika miaka ya 1970 na kweli chuo hakikujengwa.

Chuo kikapelekwa kujengwa Mbale, Uganda.

Maaskofu wakakataa Zanzibar kujiunga na OIC na haikujiunga.

Ushahidi upo.

Maaskofu wamekataa kuzirejesha Mahakama za Kadhi zilizovunjwa mwaka wa 1963 na mahakama hakika hazikurejeshwa.

Ushahidi upo.

Yapo mengi lakini tutafakari haya kwa sasa.

Tanzania hii itaendeshwa kwa matakwa ya Maaskofu hadi lini?


JE NCHI HII BAADA YA KUSAINI MoU mwaka 1992 na makanisa ndio makanisa yamepata idhini ya kuiendesha Tanzania?

Na huu ndio MFUMO KRISTO UNAVYOENDESHA TANZANIA

WATANZANIA WENZANGU

Nawaasa tuiache serikali ifanye kazi yake ina vyombo vyake na wataaalamu wake tuliheshimu bunge na serikali katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa Watanzania


Sisi Watanzania WAZALENDO wenye nchi hii tunasema

Kazi iendeleeeeeeee

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
Afu usipende ligi na maaskofu utakufa kabla ya umri wako
 
Nape na chalamila na Tulia akson kwani wao wanasema je.?
Haya sasa watangaze kuwa baraza la maaskofu katoliki ni wahaini.
Maana wapinga huu mkataba baada ya kuitwa wapotoshaji ikaonekana haitoshi ikawa kuwa wanaopinga ni wahaini.
 
Tafakuri Tunduizi kuhusu tamko la Maaskofu

Tamko la maaskofu linesema SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU mimi nawakumbusha tu ya KAIZARI AACHIWE KAIZARI na ya MUNGU APEWE MUNGU


Nimelisoma TAMKO LA MAASKOFU na mimi nimeona mambo haya

Mimi nlichoona:
Badala ya kutoa maoni kwamba mkataba urekebishwe (kitu ambacho watanzania walio wengi ndio wanachotaka) tamko linataka huu mkataba uachwe kabisa, yani usiendelee hapa KANISA LIMEIBGILIA SERIKALI kutimiza wajibu wake maana wameipa amri serikali iachane mara moja na huu mkataba ikiwa serikali itauacha huu mkataba wa uwekezaji ni dhahiri kuwa ile kauli ya ALMARHUM SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU rahimallahu kuwa nchi hii KANISA LINA NGUVU KULIKO SERIKALI na hapo ndipo MFUMO KRISTO UNADHIHIRI kwa kuonesha nchi hii inaendeshwa na KANISA

Cha pili: Tamko linataka Bandari tuiendeshe wenyewe, kimsingi na kwa spidi ya sasa kama watanzania bado hatuwezi kuendesha bandari na kufikia viwango hitajika

Cha Tatu: ukiangalia namba 4, tamko linasema “ tukiweka ubia na makampuni yenye ubobezi wa kiteknolojia kutoka sehemu mbalimbali duniani, na sio ubia kutoka nchi moja, tukiweka mikataba yenye tija”..

Hii inamaanisha bado tunahitaji uwekezaji.. sasa tamko linaposema sio uwekezaji wa nchi Moja, kwani Ticts ilikuwa ya nchi ngapi? Si walikuwa wachina pekee? , na tamko linaposema nchi mbali mbali duniani, Dubai(UAE) si ni mojawapo ya nchi zilizopo duniani kama ilivyokuwa China kuendesha Ticts kwa miaka 30?

Hili tamko nadhani lingesema vipengele vya mkataba viwekwe sawa.

Na linapokuja swala la ubobezi, Hata huko Europe na Marekani wanamtumia huyohuyo DP sasa sijui tamko linataka ubobezi gani?!

Kingine, tamko linaposema makampuni ya ndani binafsi ndo yaingie ubia na wawekezaji wa nje, tayari serikali imeshapoteza, wakati sekta kama hizi lazima serikali yenyewe iingie makubaliano na mwekezaji moja kwa moja ili kuwe na direct control, kuliko kupitia kwa kampuni binafsi

Mwisho bila kupepesa maneno, hili tamko halimtaki Mwarabu awekeze, ila kwa kusema “ kutoka sehemu mbali mbali duniani” ni dhahiri kwamba ingekuwa ni nchi ambayo haitoki ukanda wa mashariki ya kati kama Ulaya, basi hili tamko lisingetoka, kama ambavyo halikutoka kwenye mikataba mibovu ya madini, ununuzi wa ndege, na mikataka mingine mibovu. Nadhani baraza la MAASKOFU wanataka kutwambia kuwa itakuwa vizuri zaidi mwekezaji akitoka Vatican au Ulaya na iwe kampuni ya Wazungu Wakristo ila tu wamejificha nyuma ya kichaka wanachokijua wao,

Hapa kanisa limekumbuka kauli ya SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU ila wamesahau ya

Kaizari aachiwe kaizari na ya Mungu apewe Mungu

Hebu turudi nyuma kwenye historia Kanisa ndani ya nchi hii linapata wapi Moral authority wakati kanisa hilo haohao TEC na CCT walisaini mkataba na serikali 1992 wa kula mabilioni ya PESA maarufu kwa jina la MoU

Mkataba wenye masharti magumu tu kuwa kulipo na hospitali za kanisa serikali isijenge za kwake ipeleke wafanyakazi hapo na mishahara ya hizo hospitali za kanisa itoke serikalini hii ni hatari sana

Serikali imeanza kujenga hospitali zake kila wilaya hili kwao limekuwa tatizo kubwa sana

Hebu tujikumbushe machache kuhusu KANISA NA KADHIA MBALIMBALI ZA TANZANIA

Tutakwenda hivi kwa amri ya Maaskofu hadi lini?

Maaskofu hawaitaki historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa kuwa inawaweka Waislam juu, historia hii ikafutwa.

Ushahidi upo.

Maaskofu hawakuitaka East African Muslim Welfare Society (EAMWS) matokeo yake ikapigwa marufuku kwa amri ya serikali mwaka wa 1968 kwa kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu cha Waislam.

Ushahidi upo.

Maaskofu hawakupenda kuona Waislam wanaelimika zikafanywa kila aina ya mbinu kuhakikisha kuwa watoto wa Waislam hawapati elimu ya sekondari wala Chuo Kikuu.

Ushahidi upo.

Maaskofu hawakutaka Organisation of Islamic Conference (OIC) ijenge Chuo Kikuu Tanzania katika miaka ya 1970 na kweli chuo hakikujengwa.

Chuo kikapelekwa kujengwa Mbale, Uganda.

Maaskofu wakakataa Zanzibar kujiunga na OIC na haikujiunga.

Ushahidi upo.

Maaskofu wamekataa kuzirejesha Mahakama za Kadhi zilizovunjwa mwaka wa 1963 na mahakama hakika hazikurejeshwa.

Ushahidi upo.

Yapo mengi lakini tutafakari haya kwa sasa.

Tanzania hii itaendeshwa kwa matakwa ya Maaskofu hadi lini?


JE NCHI HII BAADA YA KUSAINI MoU mwaka 1992 na makanisa ndio makanisa yamepata idhini ya kuiendesha Tanzania?

Na huu ndio MFUMO KRISTO UNAVYOENDESHA TANZANIA

WATANZANIA WENZANGU

Nawaasa tuiache serikali ifanye kazi yake ina vyombo vyake na wataaalamu wake tuliheshimu bunge na serikali katika kutekeleza miradi ya maendeleo kwa Watanzania


Sisi Watanzania WAZALENDO wenye nchi hii tunasema

Kazi iendeleeeeeeee

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
Andiko la maaskofu limeandikwa na wasomi wa falsafa wana data kamili na wamefanya utafiti wa kutosha HALITAPINGWA kwa mipasho na sentence za kuungaunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roma mythology ndiyo inayovunja democracy hapa Tanzania,ndiyo inayotupa marais wa kiroma kila wakati na ambaye siyo mroma anaonekana hafai,
We need to change this attitudes! Quickly as soon as possible!
na hao waislam wanaokuwa marais ni waroma? Ungehoji kwa nini marais ni waroma na waislam tu ungeeleweka
 
Waliondila zero kabisa yaani eti wapewe wazawa then tuingie ubia hapa ndo utajua Phd za kupewa zipo kibao ili mradi umsujudie mzungu.

Utumbo mtupu kwa mweny akili timamu .

Point zao ni hizi👉 waendelee kupitisha mali zao ili kufanya biashara kwa mgongo wa kanisa .

Ukiona mtu anakubali lile bandiko mawili hajasoma au hakuelewa collacation baina ya vifungu ,maana wanaandika na katika madai yao hamna muunganiko .

Waanza kupinga uwekezaji ili wapewa wazawa then wanakuja kutaka ubia na watu wa nje😅😅hapa kuna phd au matope ya kukariri kingereza?

Waliambiwa PD world wanakuja kuwa kweny management au kutumia teknolojia katika uendeshaji je wanakataa lipi na wanakubali lipi?

Tukisema mtasema tuna udini ila kwa akili za kuzaliwa tu ukijua kusoma yale maazimio yao ni utopolo na hawajui kitu vichwa empty.
 
Nimeshangazwa na upole wa balaza la Maaskofu wa Katoliki

Hii haikupaswa kuwa ombi bali ni amri afute mkataba mbovu kwa kupewa muda tuseme siku 10 tu au vinginevyo aachie madaraka
Wanaijua diplomacy, hiyo ni amri in a soft way! Maana wao hawahitaji kauli Kali maana wanazo nguvu
 
🤣🤣🤣 huyo ukimyima mchanga wa upako yuko radhi akupe chochote asije kikosa mchanga wa kumpeleka mbinguni.

Sasa hata sijui huko mbinguni kuna biashara gani.
Ona hii Mbumbumbu inaongea mashudu
 
DP WORLD WAPO NJIANI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hameni tu nchi
hao DP World wanachoshupaza shingo ina maana hawaoni kuwa wamekatiwa kuwekeza waondoke wakawekeze nchi nyingine? Wanang'ang'ania nini wakati wamekataliwa?
 
Dude lishageuka kuwa vita kati ya mabwana hawa na mabwana wale...
 
Back
Top Bottom