Ktk Historia ya Nchi hii toka 1961 hakuna tukio lolote ambalo KANISA likajitokeza kuingilia BILA KUWA NA MASLAHI YAO BINAFSI.

Toka wakati ule nyerere miaka ya late 67 wakati wa ulipaji wa kodi za mapato.
Mpk leo kwenye Suala hili la Bandari

Hata siku moja MAASKOFU hawajawahi kuingia issue kubwa kwa maslahi wa WANANCHI WOTE bali always ni MASLAHI YA KANISA.

Sasa isije kuwa hawa MAASKOFU WANATUMIWA NA WAZUNGU kwa kutumia jina la KANISA ili watuharibie mikataba mizuri yenye faida ya Taifa letu ili wazungu wazidi Kutunyanyasa na mikopo yao.

Wananchi wa Tanzania hasa wakristo tafadhali sana waambieni hao viongozi wenu wakae mbali .
 
Afu usipende ligi na maaskofu utakufa kabla ya umri wako
 
Nape na chalamila na Tulia akson kwani wao wanasema je.?
Haya sasa watangaze kuwa baraza la maaskofu katoliki ni wahaini.
Maana wapinga huu mkataba baada ya kuitwa wapotoshaji ikaonekana haitoshi ikawa kuwa wanaopinga ni wahaini.
 
Andiko la maaskofu limeandikwa na wasomi wa falsafa wana data kamili na wamefanya utafiti wa kutosha HALITAPINGWA kwa mipasho na sentence za kuungaunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roma mythology ndiyo inayovunja democracy hapa Tanzania,ndiyo inayotupa marais wa kiroma kila wakati na ambaye siyo mroma anaonekana hafai,
We need to change this attitudes! Quickly as soon as possible!
na hao waislam wanaokuwa marais ni waroma? Ungehoji kwa nini marais ni waroma na waislam tu ungeeleweka
 
Waliondila zero kabisa yaani eti wapewe wazawa then tuingie ubia hapa ndo utajua Phd za kupewa zipo kibao ili mradi umsujudie mzungu.

Utumbo mtupu kwa mweny akili timamu .

Point zao ni hizi👉 waendelee kupitisha mali zao ili kufanya biashara kwa mgongo wa kanisa .

Ukiona mtu anakubali lile bandiko mawili hajasoma au hakuelewa collacation baina ya vifungu ,maana wanaandika na katika madai yao hamna muunganiko .

Waanza kupinga uwekezaji ili wapewa wazawa then wanakuja kutaka ubia na watu wa nje😅😅hapa kuna phd au matope ya kukariri kingereza?

Waliambiwa PD world wanakuja kuwa kweny management au kutumia teknolojia katika uendeshaji je wanakataa lipi na wanakubali lipi?

Tukisema mtasema tuna udini ila kwa akili za kuzaliwa tu ukijua kusoma yale maazimio yao ni utopolo na hawajui kitu vichwa empty.
 
Nimeshangazwa na upole wa balaza la Maaskofu wa Katoliki

Hii haikupaswa kuwa ombi bali ni amri afute mkataba mbovu kwa kupewa muda tuseme siku 10 tu au vinginevyo aachie madaraka
Wanaijua diplomacy, hiyo ni amri in a soft way! Maana wao hawahitaji kauli Kali maana wanazo nguvu
 
🤣🤣🤣 huyo ukimyima mchanga wa upako yuko radhi akupe chochote asije kikosa mchanga wa kumpeleka mbinguni.

Sasa hata sijui huko mbinguni kuna biashara gani.
Ona hii Mbumbumbu inaongea mashudu
 
DP WORLD WAPO NJIANI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hameni tu nchi
hao DP World wanachoshupaza shingo ina maana hawaoni kuwa wamekatiwa kuwekeza waondoke wakawekeze nchi nyingine? Wanang'ang'ania nini wakati wamekataliwa?
 
Dude lishageuka kuwa vita kati ya mabwana hawa na mabwana wale...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…