Fanya kutuwekea tamko hilo ulilolitaja la Shura ya Maimam
 
Propaganda za kimadrasa peleka msikitini.
Mimi Mkatoliki kindakindaki. Nina Sakramenti zote bado Moja tu ya Mpako Mtakatifu wa Wagonjwa kwasababu Mimi ni Mlei. Na ni mjinga kama wewe ndie unaamini wanaounga mkono ubinafsishaji wa Bandari ni Waislamu. Na kama TEC imechukua mkondo huo nao watakuwa wajinga na wapumbavu!!!
 
Teolojia ni elimu ya dini yao, which is relevant to them only. Falsafa ni mawazo ya watu, siyo ya mungu. Hata mimi na wewe tuna mawazo. Don't be ensalved by such minor and poor idiologies ambazo ulaya zilishazikwa siku nyingi.
 
Hakuna mkatolik mwenye akili kama zako hizi za madrasa.
🤣 🤣 🤣 🤣 Unatuzuga.
 



Ni sawa, ila unajua population yao ni % ngapi ya wa Tanzania
 
Basi kwa aina hiyo ya Mungu lazima awe wa Wakristo tu hawezi kuwa Mungu wa walimwengu wote
Kumbe hujui Mungu wa Kweli ni wa Wakristo tu.
Biblia inasema kuhusu YESU

Yn 14:6​

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
 
Teolojia ni elimu ya dini yao, which is relevant to them only. Falsafa ni mawazo ya watu, siyo ya mungu. Hata mimi na wewe tuna mawazo. Don't be ensalved by such minor and poor idiologies ambazo ulaya zilishazikwa siku nyingi.
Haya rekebisha sasa ule uongo wako pale juu wa kujitambulisha kama mkristo Mkatoliki ili twende sawa.
 
Nchi imegawanyika, duh! Huku tinapoenda sikuzuri kabisaa.
 

Mnamdanganya yule bibi!! Kwa TEC ile ni maelekezo kutoka Roma.
 
Ongeza sauti hawajakusikia na hawatakusikia Kwa mkataba huu mliosaini
 
Basi kwa aina hiyo ya Mungu lazima awe wa Wakristo tu hawezi kuwa Mungu wa walimwengu wote
Yesu asema, “Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma” (Yohana Mtakatifu 17:3).

Kama utakuwa na uzima wa milele na huishi na Mungu milele Mbinguni, ni lazima humjue Mungu na mwanawe Yesu Kristo.
 
Kumbe hujui Mungu wa Kweli ni wa Wakristo tu.
Biblia inasema kuhusu YESU

Yn 14:6​

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Mungu wa kweli hawezi kuwa wa kikundi fulani tu.

Mungu wa kweli ni wa wote, wenye dini na wasio na dini, wanaomtii na wasiomtii.
Mungu wa kweli lazima awe wa wote, huyo wa Wagalatia pekee ni wa Mchongo kama alivyo ng'ombe Mungu wa Wahindu.
Mungu wa kweli anatoa rizki kwa wote bila kujali wanaomtii au kumpinga
 
TEC ni wapuuzi fulani wanajioni dini YAO ni national religion. Ujinga wao huo haukubaliki hata kidogo. Mapadri wao wanalawiti watoto DUNIA nzima. Mbona hawajawai kuandika waraka wa kupinga ushenzi huo. Maaskofu wa TEC wenyewe wanakashfa kibao za KUBAKA maisista! Mifano iko wazi kabisa. Wakiendelea kuzingua NITAMWAGA kila kitu ili dunia ijue. Washenzi kabisa hawa. Uwekezaji wa DP WORLD NI LAZIMA UFANYIKE kwa masilahi mapana ya nchi!!!!
 
Hakuna MUngu wa kweli wa wote kijana wangu. Mungu wa kweli ni wa wakristo tu.
 
Unamtuhumu papa pasipo ushahidi ni upumbavu uliopitiliza.
Wewe, nahisi uelewa wako upo chini. Na inaonekana unapenda kubishana na siyo kuelewa. Kwako papa ndiyo kila kitu na siyo matumizi ya akili yako!!!!!!!

1) Huyu ni papa:

Pope Francis Says Homosexuality Is Not a Crime, but Is a Sin


5 Jan 2023 — In an interview with The Associated Press, the pope said the church should do more to end laws that criminalize same-sex relations.


2)
Hii ni Biblia:

1 Kor 6:9-11 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ...​


Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, ...

Read the Bible online. A free Bible on your phone, tablet, or computer. › bible


3)
Hawa ni wanazuoni wa kikiristo:


Key Concepts Sin & Crime Absolute & Relative Morality ...


A sin is an action which goes against the will or laws of God. Some sins are crimes, for example, murder and stealing. Other sins such as adultery and pride ...

www.st-augustines.worcs.sch.uk


4)
Hawa ni magwiji wa sheria za kidunia:

Crime vs. Sin-Difference between and Examples​


6 Jun 2023Crime and sin are two terms commonly associated with wrongdoing, but they originate from different spheres—legal and moral.

Homepage - EDUInput- An online learning platform for Mcat, JEE, NEET and UPSC students. › crime-vs-sin
hvv


17 Oct 2022

A sin is an act or behaviour that is against religion or God's will.

Crime: Crime is an action against the law.

Sin: It is recognised by God or religion.


Crime: It is recognised by the state or government.


WritingLaw › Law Q&A

Kupanga ni kuchagua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…