BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
- Si kweli hata kipindi cha Magufuli walikuwa wanakemea.Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Si kweli hata kipindi cha Magufuli walikuwa wanakemea.Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Wale ni wasomi! Unafikiri ni vilaza? Baraza lina wanasheria na wana uchumi! Isitoshe amesema wamezungumza na watu mbalimbali wakiwemo watu wa serikali kabla ya kutoa tamko na kuona mkataba una shida.Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Mafioso!Kweli tupu huo watu ni noma sana
Hilo ndo tatizo lenu. Ni chombo kikubwa kwenye ukatoliki sio kwenye Serikali na maamuzi ya kitaifa.TEC ni chombo kikubwa sana. Kuja na tamko kama hili la kiujumla bila kuwa na takwimu na mwisho kuja na conclusion ya kutotidhia. Kusema kuwa Wananchi wengi hawaungi mkono, kwa takwimu zipi? Asilimia ngapi inapinga na ipi inakubali?
Hebu tuchukulie hoja ya kuwa lazima wengi wasikilizwe..vipi kuhusu hoja ya Kuanzishwa kwa vyama vingi ambapo wengi walipinga lakini serikali ikaridhia.
- mwaka 2018 tarehe 1 February TEC( Baraza la maaskofu katoliki) walitoa waraka Kuhusu uminywaji wa demokrasia hapa Tanzania.Walikemea wapi na kipi? Weka hapa Hilo tamko lao
Rais ndiye mwenye maamuzi na Serkali yake hivyo wanapaswa wasiingilie mambo ya Serikali.Wamesema Raisi ndio mwenye maamuzi ya mwisho,naona humu kuna watu wameshakuwa wao ndio marais,tutulie mwenye nchi atatoa tamko,ndio maana ametoa mwanya kwa taasisi kama hizi nao kujiridhisha,hujiulizi kwanini amekaa kimya muda wote...?
Kwa hiyo ulitaka maaskofu wasikemee mkataba usio na kikomo? Na mkataba unaotoa wajibu kwa Tanganyika na haki kwa DP?Hilo ndo tatizo lenu. Ni chombo kikubwa kwenye ukatoliki sio kwenye Serikali na maamuzi ya kitaifa.
Huo ujinga wa watu kujiona wana sehemu ya kuongoza nchi ndo ilipelekea mauaji ya Rwanda huko.
Dini na Serikali havipaswi kuwa pamoja!!
Hili halihalalishi kanisa kujiona lina nguvu au mamlaka ya kuiamulia Serikali. Ni upuuzi ukiotukukaSamia ni Mwenyekiti wa CCM lakini inaonyesha hawajui vizuri wenzake. Akija kutoka madarakani watamchafua mno na kwa miaka mingi haji kutokea Rais kutoka Zanzibar.
Hawa maaskofu ninwasomi sana, hao wengine blahblahBaraza la masheikh na mauramaa nao watakuja na kusema mkataba unafaa.
Hii shida yote inaonyesha set-up ya hii nchi haiko sawa na kuna mahala mifumo inakuwa influenced na watu wa dini fulani.
tunakokwenda inaonekana sio kuzuri.
Kama tunasema Tanzania sio nchi ya kidini basi tumaanishe kwa vitendo na si kuishi kinafikinafiki.
Hapa ndo Serikali inatakiwa kusimama Firm. Mifumo yote halali kwa mujibu wa Katiba yetu imetoa go ahead kwenye uwekezaji.Imeisha hiyo 😅😅.. miruzi mingi humfukuza mbwa
Kuwa msomi haimaanishi mtu hawezi kuwa kuwa selfish na mpumbavu??Hawa maaskofu ninwasomi sana, hao wengine blahblah