Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Sijielewi kivipi?Hujielewi wewe... Nauwenda elim Haina faida nawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijielewi kivipi?Hujielewi wewe... Nauwenda elim Haina faida nawe
We jiliwaze na vitamko uchwara hivyo, DP world lazima waje kuchapa kazi, hakuna watu wenye njaa kali kama maaskofu wa Tec, ukiita askofu mmoja mmoja ukamnunulia mvinyo atakupatia Siri zote za kanisa mpaka wanavyolawiti watoto na ushoga wanaofanya, basi tu serikali inaamuaga kuwasitiri na aibu Ila kiukweli mule hakuna maaskofu!!
Na wewe ungana na “askofu” Mwamakula ili uwahii motoni😂😂😂
Sasa tatizo mabaraza tatizo watu?Unamsikiliza shivji aliyependekeza nchi ianzishe mabaraza ya ardhi ambayo yamegeuka kero nchi nzima kwa rushwa na kukuza migogoro?
Soma vizuri
Kuna Siri kubwa sana kwenye Kanisa La Roma ndomaan huwez kuelewa Kwann Hat Viongozi wa Nchi Nying huwa hawafanyi ushenzi wao Kwa Viongozi wa Kanisa Katoliki,Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?
Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.
Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Tamko hilo limetolewa leo na Padri Kitime
Kwa Mujibu wa Padri kitime ,TEC imeamua kusimama na wananchi kwenye suala la bandari
Padri kitime amesisitiza kwa sasa serikali inataka kuligawa Taifa kwenye pande mbili wanaokubaliana na wasiokubaliana,lakini wengi wanaokubaliana wanahofi tu kwa kuwa wamepewa dhamana ya uongozi
Padri kitime amesisitiza kuwa wameita wataalamu wote mpaka watu wa wizara wamewaita hivyo wamejiridhisha kuwa mkataba wa serikali na Dp world haufai
TEC inashangazwa na serikali kutaka kuanza kuwazuia watu wasiongelee mambo ya Taifa lao
Padri kitime anahoji kama mkataba unafaa kwanini serikali inahangaika kutaka kubadili sheria lukuki ili ziendane na mkataba wa bandari na kumruhusu Dp world ya Dubai
View: https://www.youtube.com/watch?v=XjLy02Y9DwA
Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?
Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.
Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Hata kama wakiwa wanufaika lakin sio kwa kugawa bandari kwa muda usio julikana
Tamko hilo limetolewa leo na Padri Kitime
Kwa Mujibu wa Padri kitime ,TEC imeamua kusimama na wananchi kwenye suala la bandari
Padri kitime amesisitiza kwa sasa serikali inataka kuligawa Taifa kwenye pande mbili wanaokubaliana na wasiokubaliana,lakini wengi wanaokubaliana wanahofi tu kwa kuwa wamepewa dhamana ya uongozi
Padri kitime amesisitiza kuwa wameita wataalamu wote mpaka watu wa wizara wamewaita hivyo wamejiridhisha kuwa mkataba wa serikali na Dp world haufai
TEC inashangazwa na serikali kutaka kuanza kuwazuia watu wasiongelee mambo ya Taifa lao
Padri kitime anahoji kama mkataba unafaa kwanini serikali inahangaika kutaka kubadili sheria lukuki ili ziendane na mkataba wa bandari na kumruhusu Dp world ya Dubai
View: https://www.youtube.com/watch?v=XjLy02Y9DwA
Huijui catholic wewe nyamaza kimyaUsikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Mbona mnajikuta Sana nyie..?Huijui catholic wewe nyamaza kimya
Theoretical system ni ujingaa inaotakaa kufanyaaa sirikaliii...unasaini mkataba wa ovyoo ukitegemea nini??Hatupo kwenye theocratic system!
Serikali inawachekea sana hawa viongozi wa dini.
Magufuli walimkosoa huna kumbukumbu hata bandiko lao. Lipo humu.Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Usifananishe maamuzi Yale yaliyokuwa na manufaa kwa maendeleo ya Taifa na hili limkataba ya kimangungoKwa hiyo turudi kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kuwa watu wengi walisema turudi kwenye mfumo wa chama kimoja?
Angekuwa ni hayati rais JPM wasingeinua pua zao kujaribu kuongelea hili suala. Waliheshimiwa sana na wanasheria wa serikali kwa kupewa ufafanuzi mrefu tu wa shughuli nzima za bandari zitakavyokuwa.Hawa maaskofu mapunguwani kweli wanaleta ushabiki wa kidini kwenye mambo ya msingi. Mama shikilia hapo hapo DP world washaanza kuwekeza haturudi nyuma.
❌❌❌Kwa heli DP kalibu tanganyika