National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Hili swala limemkalia vibaya Rais .. linaweza tumika kisiasa vibaya dhidi yake.. Naamini hakuwa muamuzi wa mwisho kuna wengi nyuma yakeHapa ndo Serikali inatakiwa kusimama Firm. Mifumo yote halali kwa mujibu wa Katiba yetu imetoa go ahead kwenye uwekezaji.
Leo ukiwasikiliza hawa, kesho waislamu wakitoa tamko nao watataka wasikilizwe.
Kamwe nchi haiendeshwi hivyo.
Imesemwa ukomo wa mkataba utawekwa kwenye mikataba mahsusi ya uwekezaji? Wameiona hiyo mikataba mahsusi ya uwekezaji ikisema haina ukomo?Kwa hiyo ulitaka maaskofu wasikemee mkataba usio na kikomo? Na mkataba unaotoa wajibu kwa Tanganyika na haki kwa DP?
-mkataba mkuu, ule wa Bandari hamna ukomo hivyo tayari huo mkataba una kasoro, mkataba unatakiwa ujizungumzie wenyewe na sio "imesemwa"Imesemwa ukomo wa mkataba utawekwa kwenye mikataba mahsusi ya uwekezaji? Wameiona hiyo mikataba mahsusi ya uwekezaji ikisema haina ukomo?
Imesemwa ukomo wa mkataba utawekwa kwenye mikataba mahsusi ya uwekezaji? Wameiona hiyo mikataba mahsusi ya uwekezaji ikisema haina ukomo?
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
- kwa hiyo maaskofu wanapiga makelele?;Mh Rais anaendelea kuchapa kazi kuwatumikia wananchi na siyo kusikiliza makelele.
Huwezi kuweka ukomo kwenye IGA as IGA imesema rights and responsibilities zitakuwa kwenye HGA-mkataba mkuu, ule wa Bandari hamna ukomo hivyo tayari huo mkataba una kasoro, mkataba unatakiwa ujizungumzie wenyewe na sio "imesemwa"
-Mkataba kamia huo tayari una kasoro
-hiyo mikataba mikataba mahususi wewe unayo?
- mkataba gani unasema ukomo ni mpaka shuguli za Bandari zitakapokoma yaani ni mpaka Indian ocean ikauke au Lake Victoria likauke
Nikikuambia unaleta hoja za udini nitakuwa nimekushambulia binafsi?Tangu lini wakaunga mkono Uongozi wa Waislamu? Hakuna jipya hapo.
Ona haka kazee kalivyonywea na kuisha Kwa siku chache tuu 🤪😀
View: https://twitter.com/MwanzoTvPlus/status/1692499389107814650?t=Oagri0nuitzSSSRzabSTXA&s=19
Bakwata walisha sema kuwa mkataba una tatizo urekebishwe, labda kama unataka kuwalisha maneno upya.Vitu vya mzaha mzaha namna hii ndio huwa vinaleta machafuko katika nchi, Kesho wataibuka BAKWATA watasema mkataba unafaa, matokeo yake mtatoka kwenye hoja ya msingi mtahamia kwenye u kristo na uislamu. Hizi taasisi za dini hizi, haya
Unawaza kama muislamu halisi maana huko tafakari ya jambo watoto na Wazee hawana tofautiSasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?
Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.
Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Walipinga serikali ikapuuzia, na inalipa fidia mpaka leo.Wagalatia bana mikataba ya Madini miaka 100 wanachimba wenyeji wanazdi kuwa masikini hawa Maskofu walikuwa wapi?
zimechomwa kuni mpaka majoka yanaibuka toka shimoniWagalatia bana mikataba ya Madini miaka 100 wanachimba wenyeji wanazdi kuwa masikini hawa Maskofu walikuwa wapi?