Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Utangoja sana mimi kuwa Negative. You always compose rubbish, comments like a bloody foolMimi nikiwa zero brain wewe ni negative kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Utangoja sana mimi kuwa Negative. You always compose rubbish, comments like a bloody foolMimi nikiwa zero brain wewe ni negative kabisa
Leta ushahidi kuwa mwarabu alileta utumwa hapa.Mkuu kabla ya kutaka kupora Bandari ulishasikia mtu anawataja DPW?
Msijifiche kwenyw hoja dhaifu haitawasaidia nyie vibaraka.
Ukoloni ni mbaya sana
Mwarabu aliwafanya kuwa watumwa lakini hadi leo mnamwabudu
Na hapa sio VaticanHapa siyo China
Wewe ni lijinga.Mtanzania gani mwenye elimu yenye mashiko na asie mfia dini au mpenda wazungu ameukataa huu mkataba?
Usilete habari ya kina lissu na Huyo muhaini SLAAA au wale vibaraka wa wazungu ndani ya CCM.
KABLA Hujapinga kitu tumia muda kidogo kuisoma Profile ya hio Kampuni inayotaka kuwekeza hapa.
Hao ni Multi billion dollars company. Imewekeza kwenye bandari zaidi ya 40 na inafanya kazi hizo za bandari kwa miaka mingi kulikounavyofikiri wewe.
Jiulize. Je! Kampuni au nchi yenye sifa mbaya ya kukandamiza watu inawezaje KUKUBALIWA NA NCHI ZAIDI YA 40 DUNIANI KUWEKEZA KWAO?
Uhainiiiii......pambaneni sasa. Mnaulizwa mkatana una muda wa miaka mingapi.....naanza porojo za udini badala ya kujibu.Leta ushahidi kuwa mwarabu alileta utumwa hapa.
Usilete picha za kuchora.
Bring historical facts.
Msituletee utumbo mliolishwa na wazungu. Mkawachukia waarabu bure tu.
Leo hii kuna waarabu website kuliko wewe ambao vizazi vyao vimeanza hata kabla yesu hajazaliwa.
Au unataka tubadili Uzi?
Hao wahuni wakurupukaji tu. Walidhani sera ya udini itawabeba.Wewe ni lijinga.
Watu hatupingi Uwezo au ubora wa kampuni.
Watu Tunapinga kilichopo kwenye Mkataba.
Kila Mtanzania ana Dini, kwahiyo anapopinga swala hili, anapinga huku akiwa na Dini yake.
Wewe ulitaka mtu kabla ya kupinga, Ajikanae Hana Dini ndio apinge???.
Kwamba Mzee Butiku, Shivj, wasomi woooote Hawa wenye Akili na watu huru, Kwa pamoja, NI WAFIA DINI?.
hivi Unaakili, nyie waislam Huwa ni wapuuzi sana ,Kila kitu mnahusisha na dini
Kwahiyo hao Waarabu wangetutajirisha?EndeleWarabuuendeshwa na dini. Alafu mnauliza kwa nini maskini?
Endelea kuendeshwa na dini. Alafu mnauliza kwa nini maskini?
Haliwezi kufutiwa usajili. Tuache ushabiki mdogo..Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868
Better late than neverWamechelewa sana hata hivyo
Ona huyu Mbumbumbu anachokiandikaLeo hii kuna waarabu website kuliko wewe ambao vizazi vyao vimeanza hata kabla yesu hajazaliwa.
Au unataka tubadili Uzi?
Unafahamu maana ya mkataba(agreement)??Uhainiiiii......pambaneni sasa. Mnaulizwa mkatana una muda wa miaka mingapi.....naanza porojo za udini badala ya kujibu.
Tulipowauliza mKataba una muda gani wakasema mnampinga kwa sababu ni mwislam.Tanzania ni Secular Democracy hawa viongozi wa Dini wasilivuruge Taifa
Ndio Maana Wazungu wanazidi kuwa ma Atheist
Mnhh!!Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868