Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
CHARLES KITIMA ACHA KUTUMIA KANISA KATOLIKI KUENEZA CHUKI ZA WAZI DHIDI YA RAIS SAMIA SULUHU

Na, Nulphin Charles Heche

Kwa mara nyingine, Kikundi kidogo cha wanachama wa Chadema ambao pia ni viongozi ndani ya Kanisa Katoliki wakiongozwa na Charles Kitima wameamua kuonyesha chuki za wazi kwa kusambaza kipeperushi kinacholenga kujenga chuki kati ya serikali na waumini wa Katoliki nchini.

Charles Kitima ambaye amekuwa akifanya shughuli mbalimbali za Chadema bila kificho amevuka mipaka ya kazi zake kama kiongozi wa kidini akijikita katika kutengeneza na kusambaza chuki dhidi ya serikali kwa madai ya kupinga uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam kama ilivyo ajenda ya chama chake.

Mawasiliano mbalimbali yanayofanywa na Ndg. Charles Kitima na kundi lake kuwashawishi viongozi wengine wa Kanisa Katoliki nchini ili waunge mkono hoja za Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kueneza chuki dhidi ya serikali ni kinyume cha taratibu kwani Kanisa Katoliki si la CHADEMA.

Heshima ya Kanisa Katoliki ni kubwa kuliko maslahi ya Charles Kitima na rafiki zake wachache. Kueneza chuki dhidi ya Rais na serikali yake ni ukosefu wa uzalendo na kujisahau. Tanzania ni kubwa kuliko fedha au tija yoyote binafsi. Uwekezaji katika bandari ya Dar es salaam ni kwa maslahi ya umma na si vinginevyo.

Mageuzi yanayoleta tija kwa uchumi wa nchi yetu ni pamoja na kuvutia uwekezaji katika maeneo ya kimkakati kama vile Bandari. Kwa miaka zaidi ya thelathini Bandari yetu imekuwa ikiendeshwa na kampuni ya TICS na Charles Kitima hakuwahi kuhoji juu ya ufanisi hafifu lakini amepata ujasiri wa kueneza chuki dhidi ya serikali katika kipindi hiki muhimu, hili ni jambo la kushangaza na linatia aibu kwa kiongozi huyu anayejaribu kutumia Kanisa kuchafua serikali wazi wazi.
Kwa kuwa Tec inaupinga Mkataba wa Hovyo ndio maana Unasema hivyo je Tec ingeuunga Mkono ungesema hivyo? MAASKOFU ni Wananchi kama Wananchi wengine hii ni Nchi yao pia wana HAKI ya Kusema watakaloona lina TIJA kwa Nchi yao
 
Escrow ni neno linalotumika kumaanisha makubaliano ya kuhifadhi pesa sehemu fulani ili baadae aje kulipwa mtu fulani. Inaweza ikawa mmoja wenu au mtu mwingine ambaye sio baina ya pande mbili husika

Una swali lingine?
Je walilipwa walikuwa wanahusika?
 
Mwanasheria wa madrasa 🤣 🤣 🤣 🤣
Ndo unavojiqminisha? Ninavyosema mwanasheria nguli namaanisha mwanasheria nguli kweli.

Vyuo vvyote nilivyosoma ndani na nje ya Tz nimefaulu tena kwa viwango vya juu kabisa
 
Utatu mtakatifu na kanuni ya imani inasema hivyo.

Utatu Mtakatifu: Kiri ya Imani ya Kanisa: Baba, Mwana na Roho Mt.​

Mama Kanisa anakiri na kufundisha katika Mungu mmoja aliye katika Nafsi tatu, yaani Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Kanisa linatufundisha kwamba mgawayiko huu wa Nafsi hujidhihirisha katika kazi zao: Mungu Baba Mwenyezi ndiye muumbaji, Mungu Mwana ni mkombozi na Mungu Roho Mtakatifu ni mfariji.
 
Ungejua ungefuta hii. Mpango, Chongolo, Wambura ni miongoni mwa watakaosomewa huo walaka jumapili tena hata CDF mstaafu Mabeyo yeye ni mwenyekiti wa jumuiya zote za kikatoliki Tanzania naye atasomewa ndio maana TEC wanajiamini
Wakatoliki wote watasomewa, wapo walio serikalini, ccm na vyama vyote, taasisi, bunge, baraza la mawaziri nk. Wataambi na viongozi wao... kama walitetea walitetea, walisaini, waliupigia kura, walihamasisha watu waukubali walikosea! Wataambiwa hivyo na hili sio dogo!
 
Mungu yupi huyo? baba, Mama, Mwana au Roho?

Mmechelewa jamvini, karamu imeshaliwa.

Hivi mnangoja mkataba wa kibiashara uanikwe kama IGA?

Hakuna biashara ya Kimataifa duniani ikaendeshwa hivyo.
 
Mungu yupi huyo? baba, Mama, Mwana au Roho?

Mmechelewa jamvini, karamu imeshaliwa.

Hivi mnangoja mkataba wa kibiashara uanikwe kama IGA?

Hakuna biashara ya Kimataifa duniani ikaendeshwa hivyo.
Shehe Mwaipopo: Katoliki ndio Dini kubwa Duniani 🔥
 
Hao wakwepa kodi habari zao tunazo kwanza utasikiliza vip wanaume wasiokuwa na uwezo wa kuoa ?

View attachment 2722356View attachment 2722357
Yaani hela za Rugemalila zilifuata taratibu zote za kifedha;

1. Electronic transfer toka akount moja kwenda nyingine kwa kiasi kikubwa cha fedha.

2. Hela ya Rugemalila, ilikatwa kodi ya serikali. Hapa usisahau serikali huwa haichukui kodi toka kwenye fedha haramu

3. Hela ya Rugemalila, maamuzi ya nani ampe na asimpe yalikuwa ni yake binafsi. Ni kama hela yako hakuna mtu anayekupangia nani wa kumpa au nani wa kumnyima.

SASA WEWE NIAMBIE, ZILE ZA KWENYE MASANDARUSI ZILIKUWA ZA NANI?

HUONI KUWA ZA KWENYE MASANDARUSI HAZIKUFUATA TARATIBU ZA KIFEDHA?

KIASI KIKUBWA VILE CHA FEDHA, UNACHUKUAJE KAMA CASH TOKA BANK?
 
Back
Top Bottom