Ndungai hajui maana ya dhana za "SEPARATION OF POWERS " na "PARLIAMENT SUPREMACY". Anadhani kuwa naye ni mfanyakazi wa Ikulu ndani ya idara inayoitwa Bunge!
 
Kupata viatu kwa size ya mguu anayovaa ni shida sana acha tu avae vikubwa
 
Ni wazi spika Ndugai amekuwa adui wa wananchi kwa kutozimgatia maslahi ya umma na utawala bora na kuwa mpiga mihuri ya serikali. Mambo mengi ya ovyo ameshindwa kusimamia kama hoja ya 1.5 trioni, hoja ya Lugumi serikali pamoja na akina Kangi ni Sarakasi tu serikali inafanya hasa ukizingatia terms of contracts management na sheria ya PPA, 2011 na kanuni zake 2013 na 2016.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wengi walisema mwanzo jamani kuanza kwa uongozi mpya yaani serikali ya awamu ya tano kunatakiwa kuwepo na semina elekezi kwa viongozi wote kuhusu majukumu yao maana yanaweza kuleta shida kubwa kwa taifa.Nafikiri mengi yametokea na kuletea serikali hasara kubwa kulipo posho ya wiki moja kwa viongozi mfano issue ya DAB, BM,
 
AONDELEWE TU HAKUNA NAMNA SASA, sauti ya PINDAAA

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…