Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Wakati mwingine huwa nawaonea huruma sana wana ukawa.

Kipindi Ndugai anaumwa walikuwa wanamiss na kumtukana Tulia huku wakimsifia Ndugai na kumhimbea apone haraka arudi!

Leo hii tena kawa hafai?

Ipo siku ukawa watamsifia sana Dr. Tulia,. Time will tell,

Jamaa wanageuzwa kama chapati. Kila ngoma inayopigwa wao ni kucheza tu.
 
Wapinzani nao buana!!
Hakuna haja ya kuanza kugombana na Wabunge wa CCM.
Kila kitu wanachofanya CCM ni lazima kitakuja kuwagharimu wao zaidu ya wapinzani!

Kwa upepo huu ni lazima wajue kuwa CCM ndiyo yenye dhamana kwa rasilimali za nchi hii.
Wananchi na muda ndio utakao amua.
 
Asee Ndugai nae Leo nmeona anahasira za kitoto sana, kitu wazi ila sijui kwanini kachukua maamuzi hayo na kwa maslah ya nan
 
Nadhani mkuu. Arudi India akawekewe akili mpya. Kiongozi huwezi sema neno lile wakati unajua wazi kuwa ni sekunde chache tu, umewaonea hao hao unao wabeza. Watakimbilia kwa nani tena?? Weye kama baba yao, mlezi wao, umeamua kuwa tosa unategemea nini??
Na pia ni kushindwa kujielewa, anaanza kuchukua tabia za kibashite, amejisahau kama yeye ni Mkuu wa Mhimili wenye uwezo
Nadhani mkuu. Arudi India akawekewe akili mpya. Kiongozi huwezi sema neno lile wakati unajua wazi kuwa ni sekunde chache tu, umewaonea hao hao unao wabeza. Watakimbilia kwa nani tena?? Weye kama baba yao, mlezi wao, umeamua kuwa tosa unategemea nini??
Na pia ni kushindwa kujielewa, anaanza kuchukua tabia za kibashite, amejisahau kama yeye ni Mkuu wa Mhimili wenye uwezo hata wa kumng'oa rais
 
Wakati mwingine huwa nawaonea huruma sana wana ukawa.

Kipindi Ndugai anaumwa walikuwa wanamiss na kumtukana Tulia huku wakimsifia Ndugai na kumhimbea apone haraka arudi!

Leo hii tena kawa hafai?

Ipo siku ukawa watamsifia sana Dr. Tulia,. Time will tell,

Jamaa wanageuzwa kama chapati. Kila ngoma inayopigwa wao ni kucheza tu.
Hilo liñadhihirisha kuwa ccm wote wameoza
 
Alikuwa mzuri ila kabàdirikà. Amekuwa hovyo kabisa
Kila ngoma mnacheza tu.Kesho akifanya jambo mnalopenda mtamsifia.Kifupi nyie ni watu ambao hamjui mnachotaka
 
Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,

Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.

Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.

Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.

1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.

2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.

3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.

Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.

4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.

5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.

Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.

Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.

Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.

Ni Mhere Mwita.
Mbona Wabunge wa Upinzani walimsifu sana spika Ndugai baada ya kutoka kwenye matibabu baada ya kuonja joto ya jiwe chini ya usimamizi mahili wa Tulia Ackson? Leo baada ya kuwadhibiti hao wabunge wajinga wajinga imekuwa nongwa?
 
Yule ugonjwa ndio unamfanya awe, vile ila dah tz inakoenda ni hatar iko siku wapinzani watachoka halafu hapatatosha mule ndani
 
Hili suala halikupaswa kuwa kubwa kiasi hicho kama Spika angetumia busara

Kauli ya mwizi imesikika, alichotakiwa ni kuhakikisha inafutwa. Ndiyo nidhamu yenyewe kama ile ya akina Mdee

Spika akaona kutumia askari ni busara badala ya kutumia busara kuongoza bunge. Imesikitisha sana

Lakini mwanzo alipoombwa mwongozo alisema kauli za kumchochea Lusinde dhidi ya wenzake. Sad!


Spika Ndugai aangalie mkanda na tukio zima. Atakuwa amejifunza kitu kikubwa sana!

Hayakupaswa kutokea kama busara japo kidogo tu ingetumika. Ni aibu sana yametokea, inasikitisha sana
 
Yaleo kali tusirudie kosa 2020, kosa kuwajaza tena heri jiwe kuliko hawa ,nidhamu ya uoga I natukabili Ila sikuzote mwenyehaki hataachwa milele
 
nashangaa mnamsmaga sanah bashite wakati team nzima imeoza bwanah....hakuna kitu huko
 
Back
Top Bottom