Huyu jamaa anakera sana. Kiburi chake kimevuka mipaka. Hajali tena katiba ya nchi. Amejipa mamlaka yasiyo yake. Havumiliki kabisa. Any way Mungu yupo anajua cha kufanya.
Kachukua nafasi ya Meko. Hope yamkute ya Meko vile vile.
 
Nashangaa kuna hawa watu wanajiita TLS na watu wengine hivi wanashindwa nini kumpeleka mahakamani huyu JOB ni kero sana kwa ustawi wa nchi hii. Naamini kabisa huyu akili sio zake anaendesha bunge kwa mipasho tu. NEC wao wapo kimya msajili nae yupo kimya. Huyu JOB ni adui wa taifa hili ukiangalia sura za wale wabunge wa CDM wanajua kabisa hawana baraka za chama. Tayari wameshafukuzwa na nafasi zao zimezibwa. Angalia mgongano wenyewe wanadai wamekata rufaa kupinga kufutwa uanachama ila JOB anadai hajapata barua za wao kufukuzwa CDM. Ni mwehu tu anaweza kumkubalia huyu mental JOB.
 
Hebu na Mimi nikisie.
Mtu huyo atakua alizaliwa kwenye nyumba ya tembe, Ni mfupi wa kimo na akili, anaongea bila kufikiria, mwendazake alimletea mdoli kutoka Sudan ya kusini uwe mbadala wake.
Ni mwizi na mgonjwa.
 
Huyu jamaa anakera sana. Kiburi chake kimevuka mipaka. Hajali tena katiba ya nchi. Amejipa mamlaka yasiyo yake. Havumiliki kabisa. Any way Mungu yupo anajua cha kufanya.
Mkuu jinyonge ili uachane kabisa na karaha ya kumsikiliza huyo mtu, vinginevyo inabidi ukubali tu yaishe
 
Yes..........
 
Huyu jamaa anakera sana. Kiburi chake kimevuka mipaka. Hajali tena katiba ya nchi. Amejipa mamlaka yasiyo yake. Havumiliki kabisa. Any way Mungu yupo anajua cha kufanya.
Ni mpuuzi sana huyo jamaa...

I wish jambo litokee!
 
Ndiye dikteta aliyesalia tuzidi kumwomba Mungu afanye muujiza wake mbona alifanya muujiza mwezi March?
 
Akizidi nature itafanya kazi yake!
 
Hivi kwani virusi vya ukimwi siku hizi vinashambulia ubongo?
Maana hicho kipimbi hapo bungeni kinaonekana virusi vyake vinashambulia ubongo kuliko damu, hi ndo sababu kinafikiri na kutoa maamuzi kwa kutumia matakΒ© badala ya ubongo
 
Hivi harogeki kabisa?
 
NDUGAI sio dikteta.
Dikteta namba 2 NI MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI WA ZANZIBARA.
 
Ndugai siyo dikteta ni mpumbavu.

Watanzania kwa sasa hawana uwezo mdogo wa kuzihoji mamlaka hata kama katiba ya nchi imevunjwa.

Naamini hili suala la Spika likivaliwa njuga na watu wote ataona aibu na kuwaondoa wale wabunge.
 
Hayaaaa, sumu ya panya, sumu ya panya, sumu ya panya, mapanya hayoooo!
 
covid watamaliza 5 tena,kwa mwamvuli ule ule wa chadema.
na hakuna kima yeyote anaezafanya chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…