Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kwani ana siku ngapi za kuishi? Huoni alivyoumuka! Hamna kitu hapo na wala hatapatikana kumpeleka mahakamani for abuse of office chargeNimekua nikifuatilia mjadala wa bunge muda mrefu na kwa kweli NDUGAI umepoteza mwelekeo kabisa
umekua ukikanyaga na kuzisigina sheria wazi kabisa,tunakuona na jua kuna maisha baada ya bunge na soon tutakutana mtaani,
Utakutana naye wapi bwashee?Nimekua nikifuatilia mjadala wa bunge muda mrefu na kwa kweli NDUGAI umepoteza mwelekeo kabisa
umekua ukikanyaga na kuzisigina sheria wazi kabisa,tunakuona na jua kuna maisha baada ya bunge na soon tutakutana mtaani,
Hasa wenye roho za chuki kama ndugu yetu huyuKuna watu huiaga dunia punde baada ya kustahafu hii ndio ahueni.
Utakutana nae wapi sasa? Haujui kuwa Spika akistaafu anakula asilimia thamanini na zaidi ya mshahara wa spika aliyepo madarakani.
Labda kama sijakuelewa
huyu anatakiwa aombewe maisha marefu ili aje aanze kujutia madudu yake kwanza na anatakiwa awepo mpaka wapinzani watakaposhika madarakaHuyu kwani ana siku ngapi za kuishi? Huoni alivyoumuka! Hamna kitu hapo na wala hatapatikana kumpeleka mahakamani for abuse of office charge
Ujinga wangu uko wapi?Nyie ndio mnafanya taifa liendelee kuwa na watekaji wauwaji wavunja Sheria za nchi na kila Aina ya uovu wakiamini kwamba wana uungwaji mkono kumbe ni wajinga wachache Kama nyie.
Wewe mpuuzi hatuongelei marupurupu Yao baada ya kustahafu noo.tunaongelea atafikishwa vipi mbele ya hukumu kujibia aliyoyatenda akiwa spika sidhani Kama katiba imempa Kinga spika ya kutoshtakiwa ndugai anapaswa kufikishwa mahakamani Mara tu baada ya kumaliza ubunge wàke mwezi wa sita ama la Mara tu baada ya magufuli kuondoka madarakani maana pengine ndie anaemkingia kifua.Ujinga wangu uko wapi?
Mjinga namba moja ni wewe unayedhani utamuona mtaani Spika akihadhirika hata kama ataondoka madarakani leo hii,
Mtu ambaye katiba ya nchi yako imemuongelea ataishi vipi bahada ya kustaafu kulingana na cheo chake.
Hii sabufa ni utopoloKutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,
Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.
Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.
Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.
1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.
2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.
3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.
Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.
4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.
5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.
Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.
Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.
Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.
Ni Mhere Mwita.
Kila kitu tulikosea mkuuimajini tumempa mtu mamlaka ya moja ya muhimili wa nchi, mtu ambaye aliwahi kumpiga mgombea mwenzake na fimbo akazirai