Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Ndugai mene mene tekel na peresi

Umepimwa na umepungua unachofanya huikomoi chadema unaikomoa katiba uliyoapa kuilinda.

Na nihakika wewe si mkubwa kwa katiba katiba ni KUBWA kuliko wewe.

Umeliharibu bunge letu umelifanya liwe kikaragosi Cha serikali badala kuwa sauti ya wananchi.

Umejipa nafasi ya uungu unaposema mbowe harudi bungeni November kwani wewe Nani mpaka useme hivyo? Au Mungu amekukaimisha mamlaka yake ?

Naamini ndugai kwa Mambo uliyoyafanya ndani ya bunge nitashangaa ukiwa mbunge Tena achilia mbali uspika .

Muda ni mwalimu mzuri.
Tukiruhusu vyama viwe vinafukuza wabunge uanachama kwa kosa linaitwa kuhudhuria vikao vya bunge tutakuwa tunasigina katiba na kutowatendea haki wapiga kura

Hii dhambi mpya iliyotungwa na chadema inayoitwa kosa la kuhudhuria vikao vya bunge haihitaji mtu aiungame popote iwe kwa padri au Mungu sababu hiyo dhambi haipo duniani Wala mbinguni

Ni dhambi ya kutungwa Ni.mpya
 
Ndugai mene mene tekel na peresi

Umepimwa na umepungua unachofanya huikomoi chadema unaikomoa katiba uliyoapa kuilinda.

Na nihakika wewe si mkubwa kwa katiba katiba ni KUBWA kuliko wewe.

Umeliharibu bunge letu umelifanya liwe kikaragosi Cha serikali badala kuwa sauti ya wananchi.

Umejipa nafasi ya uungu unaposema mbowe harudi bungeni November kwani wewe Nani mpaka useme hivyo? Au Mungu amekukaimisha mamlaka yake ?

Naamini ndugai kwa Mambo uliyoyafanya ndani ya bunge nitashangaa ukiwa mbunge Tena achilia mbali uspika .

Muda ni mwalimu mzuri.
Huyu anatumwa na jamaa ambaye yupo mapumzikoni
 
Hapa niko njiani naelekea Dodoma kukutana na Ndugai ili anioyueshe Kitabu anachotumia kuliongoza Bunge kama ni Katiba,

Dictionary au Gazeti la Uhuru?.

Mniombee...japo nilitangulia kujiombea kabla...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai mene mene tekel na peresi

Umepimwa na umepungua unachofanya huikomoi chadema unaikomoa katiba uliyoapa kuilinda.

Na nihakika wewe si mkubwa kwa katiba katiba ni KUBWA kuliko wewe.

Umeliharibu bunge letu umelifanya liwe kikaragosi Cha serikali badala kuwa sauti ya wananchi.

Umejipa nafasi ya uungu unaposema mbowe harudi bungeni November kwani wewe Nani mpaka useme hivyo? Au Mungu amekukaimisha mamlaka yake ?

Naamini ndugai kwa Mambo uliyoyafanya ndani ya bunge nitashangaa ukiwa mbunge Tena achilia mbali uspika .

Muda ni mwalimu mzuri.

Huyo mbilikimo ni wa kusamehewa tu maana ule ugonjwa uliompelekea kukatwa vidole viwili vya miguuni umeshaathiri ubongo wake! Pia kuna uwezekano mkubwa sana ni Msengerema!
 
Ndugai mene mene tekel na peresi

Umepimwa na umepungua unachofanya huikomoi chadema unaikomoa katiba uliyoapa kuilinda.

Na nihakika wewe si mkubwa kwa katiba katiba ni KUBWA kuliko wewe.

Umeliharibu bunge letu umelifanya liwe kikaragosi Cha serikali badala kuwa sauti ya wananchi.

Umejipa nafasi ya uungu unaposema mbowe harudi bungeni November kwani wewe Nani mpaka useme hivyo? Au Mungu amekukaimisha mamlaka yake ?

Naamini ndugai kwa Mambo uliyoyafanya ndani ya bunge nitashangaa ukiwa mbunge Tena achilia mbali uspika .

Muda ni mwalimu mzuri.
Kwa Afya ya Ndugai yeye ndiye aweza kutokuwepo Novemba
 
Huu ni gonjwa wa kuambukizwa ambapo kizazi chote kimeupata na kuanza kujadili watu na siyo sera,hatupati hoja mbadala na tatizo la kujadili watu ili kutengeneza chuki hali ishi hata kama watu unao wachukia wakiondoka bado utatafuta watu wengine bila kujali kama ni watu uliokuwa nao karibu siku zote.Hiyo ndiyo dhambi ya kula nyama ya mtu kama alivyoeleza Mwalimu JK.Nyerere Mungu ailaze roho ya marehemu mahali anapostahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kunavyokucha anavunja Katiba. Hakuna wa kumkemea (ukiacha Chadema , and some few clergies)
.
The so called Wabunge ni kama mapapai kwenye tenga hayana lolote la kujitetea. Wingi wa CCM umekuwa kikwazo kwa "bunge" kutoa maamuzi yenye maana.
With this prevailing dictatorial Ndugaism, we can, do without the so-called Bunge!
 
E
Bavicha sijui mnakula nini.Ni mwezi uliopita tu mlimsifia spika kuwa amejitambua kwa sasa yupo vizuri na sifa chungu nzima
Ficha ujinga wako nani alishamsifiaga huyo spika,hata Kama alisifiwa huenda alifanya kitu kizur so ilikua haki yake kusifiwa ndo siasa Safi hizo ila akiharibu lazma asemwe
 
Ni lihuni fulani ambalo limewekwa kuharibu nchi......HUYU HANA TOFAUTI NA JECHA
 
Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,

Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.

Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.

Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.

1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.

2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.

3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.

Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.

4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.

5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.

Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.

Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.

Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.

Ni Mhere Mwita.
Ni kweli nimekuekewa Mhere Mwita
 
Back
Top Bottom