Ukiangalia Ruto alivyokaa, ni dhahiri hata legroom kwenye hilo basi hakuna. 😆😆Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.
Kama tu ili mtu aingie ndani ya ukumbi wa bunge mpaka kanuni zibadilishwe sembuse kuvuruga protocol ya wakuu wa nchi? Nimetafakati sana hiki kitu, ni zaidi ya tunavyotaka kuliweka simple....Hilo taifa limetudhalilisha wana wa dunia hii ambao ma Rais wetu wamewapa heshima kutuwakiloshaHuyu anaanza kutawala Uingereza mwaka 1952 Putin anazaliwa kwao Russia. Ni mtu mashuhuri na mwenye ushawishi mkubwa.
Hayo mabasi waliyo panda usije ukajua ni ni sawa na Simiyu express ..na wametoa sababu zenye mashiko kabisaaa kama mwepesi wa kuelewa sababu na mitazamo ya wengine ni wazi utaelewa tu ..... Na sio ajabu mbona ktk msiba wa kiongoz wetu mkubwa tu baadhi ya mabalozi walipanda vostaYaani rais wa Marekani ndio karuhusiwa kuingia Buckingham na msafara wake, marais wengine toka nchi nyingine duniani wamepakiwa kwenye mabasi, yani hawajapewa hadhi ya urais kabisa, hizo si dharau jamani, hlf pia ni security threat kwa hao marais.
Wao wakija huku, tunasafisha hadi barabara
Dah...Endelea kusikitika
View attachment 2361920
Maneno ya kufikirisha sana haya. Waafrika tuamkeMkuu hayo ya kupandishwa mabasi ni power relations tu. Ni yule anayejihisi mkubwa kutaka kumwonyesha yule anayemwona mdogo kuwa hilo basi ndiyo nafasi yake anayostahili. Ogopa sana mkuu wa nchi kuchukulia hilo jambo kwamba it's OK. Israel ni nchi ndogo sana na wala haipo kwenye G7 but those guys believe and think as if they rule the world. Na prime minister wao hawezi kukubali kupandishwa basi. Ni haya matakataka ya kiafrika tu.
NEWFORCESasa itakuwaje
Tunachojua mama kawahi siti ya dirishani...Hayo mabasi waliyo panda usije ukajua ni ni sawa na Simiyu express ..na wametoa sababu zenye mashiko kabisaaa kama mwepesi wa kuelewa sababu na mitazamo ya wengine ni wazi utaelewa tu ..... Na sio ajabu mbona ktk msiba wa kiongoz wetu mkubwa tu baadhi ya mabalozi walipanda vosta
Sawa mkuu.Hili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.
Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.
Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
Tuache chuki za kipuuzi, wakuu wa nchi zote za Commonwealth wamealikwa na itifaki inafaa wahudhurie wao wenyewe.
Huwezi kuupata mkusanyiko huu wa kihistoria Tena mpaka unakufa.
Wabongo tumevuka kiwango cha chuki na roho mbaya.
Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sidhani kama kuna ufafanuzi utatolewa. Labda ufafanuzi utolewe wa kwanini Lissu analala kitanda kimoja na Amsterdam.Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.
Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.
Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Acheni ujinga nyie..Hapa wako Marasi wote wa Afrika sipati picha ingekuwa ni SSH ambavyo wabongo wangetokwa na mapovu..Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.
Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.
Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Tazizo wanataka kujionyesha huko kwa mabeberu ili wapewe mikopoYaani hawa ni maraisi wa hadhi ya chini kabisa. Wamgeziheshimu fedha za walipa kodi wao
Ila jamaa washenzi hawa.Walikuja bila visa wala passport. Mtu ukitaka kuomba visa ya UK inabidi ufunge kwa maombi.