Umenena vyema mkuu
 
Bwana wetu Yesu Kristo alipanda punda na bado tunamwabudu. Mabasi wamepanda Viongozi wa kitaifa 99. Wapo msibani.

Aibu!

Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.

Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
 
Aibu...usitetee ujinga
 
Acha ushamba wewe [emoji35] waliokuwa na magari yao ni rais wa marekani na Israel basi!
The rest ni mabasi!
Mijitu yenye uwelewa finyu ni shida humu jukwaani walahi!
Majitu mazima ovyooooooo walahi [emoji2959]
Usikasirike Sana, dawa ya mjinga ni kumpuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…