Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Naona mabeberu wameamua kuwarundika viongozi wetu kwenye daladala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni njia nzuri yakubana matumiziAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha [emoji1].
View attachment 2361396
Unajua walichofanya ni Ku limit idadi ya watu kwenye tukio, Kila Rais akija na ufalme wake si chini ya watu 20! Ingekuwa vurugu kama ulivyosema, na Mapompus ya watu weusi kama unavyojua tena, Lakini wameeliminate wapambe wote.Afrika bhn Sasa Kila rais angepewa usafir Wake binafsi ingekuwa fujo na kazi zisingefanyika maana idadi ya polisi haitoshi wamechuka sehemu tofauti Ila nimependa
Mimi naongelea Waziri Mkuu.
Mbona kunapicha za Modi akiwa msibani na leo mazishini.Waziri Mkuu wa India hajaenda, bali raiso wa India ndiyo amekwenda!
Mbona kunapicha za Modi akiwa msibani na leo mazishini.
Poa ngoja nizame mtandaoni.Iweke kama unayo!
Maguful angekuwa hai kama angetaka kwenda angaenda tu maana tupo chini ya Uingereza, nikama Walivyo Congo, Rwanda, na baadhi ya za West Africa walivyo chini ya Ufaransa.Hajapigwa marufuku, Commonwealth member ana natural justice to attend
Poa ngoja nizame mtandaoni.
Tatizo afrika tunataka kutukuzwa mpaka ugenini yaani wanavyokwamisha mambo huku afrika wanataka kwenda kukwamisha mpaka ugenini tujifunze kwenye hiliUnajua walichofanya ni Ku limit idadi ya watu kwenye tukio, Kila Rais akija na ufalme wake si chini ya watu 20! Ingekuwa vurugu kama ulivyosema, na Mapompus ya watu weusi kama unavyojua tena, Lakini wameeliminate wapambe wote.
Nafikiri hata hapa Bongo tumeshawahi kufanya kuna wakati wa uapisho au msiba walipandishwa kwenye basi marais wote.