Acha kumbwela mbwela.Habari wadau..
Chadema wanatia aibu Sana yaani kwa vijengo hivi vya Ofisi ndio wanashangilia na kujipiga kifua ππ
Watakwambia wao watapambana na rushwa ππ
Kuna chama huwa ccm wanakisifia lkn ajabu ni kwamba huwa hawakiongelei sana kama wanavyoiongelea chadema.Kweli CCM na CHADEMA ni watani wa Jadi, jamaa kwa wiki hua unaanzisha si chini ya Nyuzi 7 kuwahusu Chadema.
Ni zaidi ya Simba na Yanga
Hao ni watani, ndiyo maana huwa unafanyika uhamisho kutoka Chadema kwenda CCM na vice versaKuna chama huwa ccm wanakisifia lkn ajabu ni kwamba huwa hawakiongelei sana kama wanavyoiongelea chadema.
Chadema ni dude linaloitisha sana ccm.
Ndio hiyo hiyo mkuu..Hao ndio wanasema watapambana na ufisadi wa CCM π€ͺπ€ͺMmmh mil 116 au sijasoma vizuri
Kwahyo pesa yetu ndio haina thamani kiwango hiki.
Mil.116 πππππKimfaacho mtu chake
Habari wadau..
Chadema wanatia aibu Sana yaani kwa vijengo hivi vya Ofisi ndio wanashangilia na kujipiga kifua ππ.
Jengo Ni baya Kama Godown/Store ya kutunzia Dagaa.
Kama mnavyojua muonekano wa nje wa kitu huakisi uwezo wa Akili na hulka yake..
Kama Ofisi tuu zimewashinda hiyo Nchi wataiongozaje?π
Chadomo haina ramani za majengo yake ya ofisi za wilaya?Hiyo ofisi haijajengwa kwa fedha za chama au serikali, bali ni michango ya hiari ya wanachama wake. Kama sio bei hiyo waliochanga pesa ndio wanapaswa kuhoji kuwa thamani ya ofisi haiendani na jengo husika. Au umekuja kupunguza mashambulizi yal mabehewa ya treni ya mgao wa umeme?
Kwa hiyo Ndio hicho kituko kinaweza kula 116? Majuzi makubwa nyieHawana fungu kutoka ikuluu hata siku moja ni wananchi ndio wachangiaji wakuuu.
Hivyo funga domo lako
kumbe wewe ndio ulikua unatunza hela za jengo huko lumumbahako kajengo kamegharimu tshs 116mil, aisee!!!