Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Acha kumbwela mbwela.Habari wadau..
Chadema wanatia aibu Sana yaani kwa vijengo hivi vya Ofisi ndio wanashangilia na kujipiga kifua 😜😜
Hii ni nchi ya chama kimoja.
Hatutaki vyama vingi mpaka mwisho wa dunia.
Tunataka chama kimoja kama urusi na china