Ramani ya Makao Makuu CHADEMA yanayotarajiwa kujengwa hivi karibuni
Nipo mahala hapa nashushia lager
Unakunywa za kugongea TU kwani hujawahi kuwa na uwezo wa kujinunulia hata mihogo pale Lumumba! Ulevi nao ni WA kujisifia? IQ Yako imejidhihirisha kuwa ndogo Sana hapo kwenye kujisifia ulevi!
 
Unakunywa za kugongea TU kwani hujawahi kuwa na uwezo wa kujinunulia hata mihogo pale Lumumba! Ulevi nao ni WA kujisifia? IQ Yako imejidhihirisha kuwa ndogo Sana hapo kwenye kujisifia ulevi!
Huu sio ulevi bali ni kusocialize tu
 
Chadema inauwezo wa kuwa na ofs Bora; Ila viongozi wanaona Bora kuwa na ofs chakavu!! Kama njia ya kuaminisha uma kuwa sio wezi wa mali za serikal na pia hawana pesa, ili wananchi waweke taswira kuwa ata ccm inendelea kwa sababu wanatumia mali za serikal:
 
Chadema inauwezo wa kuwa na ofs Bora; Ila viongozi wanaona Bora kuwa na ofs chakavu!! Kama njia ya kuaminisha uma kuwa sio wezi wa mali za serikal na pia hawana pesa, ili wananchi waweke taswira kuwa ata ccm inendelea kwa sababu wanatumia mali za serikal:
Umetokea wapi?
 
Nakushauri achana na siasa hizi uccm ucdm uact ucuf ,utapata pressure tu na unavyolalamika na kulialia kila siku unapunguza tu umri wako wa kuishi duniani

Ova
 
Habari wadau..

Chadema wanatia aibu Sana yaani kwa vijengo hivi vya Ofisi ndio wanashangilia na kujipiga kifua 😜😜.

Jengo Ni baya Kama Godown/Store ya kutunzia Dagaa,Mbaya zaidi eti gharama Ni mil.116 😁😁😁😁.

Kama mnavyojua muonekano wa nje wa kitu huakisi uwezo wa Akili na hulka yake.

Kama Ofisi tuu zimewashinda hiyo Nchi wataiongozaje? Where is value for money kwa hako kajengo ka 116?👇

Screenshot_20221127-101908.png
20221127_101914.jpg
 
Ujenzi ni gharama sana, nyumba hiyo tu imegharimu zaidi ya M100.

Huenda vifaa vya ujenzi vilikua vinatoka mbali sana.

Yote kwa yote hongereni chadema.
 
Back
Top Bottom