Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu
Umemsikiliza lakini ? Au umeokota vichwa vya magazeti , Hakuna chembe ya swali lako hajaisemea
 
Hii DP world itasimamia bandari za Tz nzima mpaka za Zanzibar ( maana ni sehemu ya Tz) au Tanganyika tu kama Lissu anavyodai ? Kwani mamlaka ya bandari si hiyo hiyo moja ?.....

Lissu awe makini asipoteze muelekeo wa mjadala na akanasa kwenye mtego wa wajanja, ajikite na makubaliano ya hiyo MOU tu, hayo ya Tanganyika na Zanzibar ni spinning za watu wenye malengo yao.

Kalamu Nguruvi3 JokaKuu Pascal Mayalla
vyovyote iwavyo, mwarabu haikubaliki kuchukua bandari za nchi
 
Hadi 2025 maeneo yafuatayo yatakua chini ya waarabu

1. Serengeti national park
2. Airports zote kubwa
3. Bandari zote za maziwa
4. Bandari zote za bahari
5. Bandari kavu zote
6. Ngorongoro
Mkuu Tabutupu una uhakika na jambo hilo? Ina maana kwa sasa mashirika hayo yanaleta hasira?
 
Hakuna mwenye Akili Timamu na anayejitambua anayeweza kumsikiliza au kusikiliza maneno yanayotoka kwenye mdomo wa Tundu lissu ambaye Ni mtu mwongo ,kigeugeu,asiye na msimamo na asiyeeleweka anasimamia Nini.

Jiulizeni lissu alisema Nini juu ya lowasa miaka ya 2008-2015 July na akasema Nini kwa mdomo huo huo mwaka huo wa 2015? Lissu Ni Tapeli na mbabaishaji tu,ndio maana kwa Sasa watanzania wanampuuza na kudharau Sana kwa kuwa wametambua ya kuwa Ni mtu mwongo na mbabaishaji,mchonganishi na mwenye chuki binafsi.
Mkuu Lukas, wewe umeusoma huo Mkataba au unachuki tu na mtu?
 
..Znz ina mamlaka yake ya bandari.

..Na sheria ya uanzushaji wa Tanzania Ports Authority inaelekeza kwamba itashughulika na bandari za Tanganyika tu.

..muungano una ujanja-ujanja mwingi na watu wakisema wanashambuliwa kuwa ni wadini na wabaguzi.

..Wazenj wakikosolewa ni wepesi kujificha ktk dini na ubaguzi.
kama yule mbunge wa afrika mashariki
 
Kakaa ulaya miaka 6 anakula hela za wazungu mama kamuonea huruma na magongo yake sahizi anaharisha pumba tu
 
Hadi 2025 maeneo yafuatayo yatakua chini ya waarabu

1. Serengeti national park
2. Airports zote
3. Bandari zote za maziwa
4. Bandari zote za bahari
5. Bandari kavu zote
Mbona umeacha kutaja wanasiasa nao watawekezwa wafanye promo ya kuuza nchi yao
 
Chadema wanatafuta kiki Ili wa trend 😁😁
Mkuu huyu naye ni wale wale, tunahoja za kwenye mkataba; sote tuna pita kwenye CHANZO na chanzo cha UHAKIKA ni MKATABA, hawa wengine ni wa kujadiliana nao katika hoja ambayo imebebwa na MKATABA. Watanganyika wengi hubadilika katika mitazamo yao kutokana na yeye kama yeye anavyo faidika na jambo hilo, kwa moja kwa moja ama kwa kupitia kwa mtu fulani na sio kwa faida ya Nchi.
 
Mama ameshakosa nafasi 2025, kwanini ameanguka kirahisi hivyo! Masikini.


YESU NI MWOKOZI
 
Hauna ubovu wowote huo mkataba Mama. Kaka hii mikataba inaandikwa sio ndani ya siku moja, inajumuisha wataalam wa Dubai na Tanzania.

Tupunguze huu ujuaji wetu wa JF, waliosaini huu mkataba ni madaktari wa sheria wenye uzoefu mkubwa wa kusaini na kufanya majadiliano ya kina juu ya haya masuala.
'Reasonable.' 'Fair enough'!

Lakini haitoshi. Nchi hii katika miaka ya hivi karibuni imesaini mikataba mingapi mibovu?

Chenge, bila ya aibu yoyote anawaambia watu kwamba "akiamshwa toka usingizini na kupewa mkataba mzuri au mbaya, atautambua mara moja".

Tumeshuhudia ni mikataba mingapi mibovu iliyosimamiwa na Chenge na hao mabingwa wa sheria unaowaandika hapa, kana kwamba tumepata malaika wapya siku za hivi karibuni.
"Ujuaji" una maana nyingi, tunapoona mambo yanayofanyiwa gizani, halafu na kuletwa mbele yetu kwa njia za udanganyifu, ukituita "wajuaji" kwa kubeza tunayoyaona yakisukumizwa kwetu kwa nguvu nyingi zisizo za kawaida, haituvunji moyo hata mara moja kutambuliwa kuwa "wajuaji".

Unajua, hao "madaktari" wa sheria unaotutishia nao, hawatustui kitu. Fisadi hata awe na udaktari wa aina gani, siku zote atabakia kuwa ni fisadi tu katika hali zote.
 
Back
Top Bottom