To be honest, Leo Tundu ameongea point sana, jamaa anajua kulitawala jukwaa na kwa aliyoyaahidi kama ni kweli yakitekelezwa hapo baadae yatafuta machungu ya watu wengi sana, Leo alijipanga sana. Mwenyezi Mungu amtangulie.
Basi watakupa kura na Lisu atakuwa raisTatizo lako wew ni popoma.
Unafikir ni watanzania wangap wako nyuma ya hao watumish wa umma?
Hakuna seraLissu atapata pesa ya kutimiza ahadi zake pale-pale Mzee Pombe alipopata pesa ya kujenga Chato International Airport.
Mataga leo speech ya Lissu imewauma mnoooo kwa kuwa imegusa watanzia wanaotaabishwa na Mzee pombe na CCM.
Hakika kisu cha Lissu kimegonga mfupa mataga mmeanza kulia 🤣Usiseme sehemu kubwa ya Watanzania.
Hivi wafanyakazi wa umma hapa nchini ni % ngapi?
Masikini Mataga leo mmekua wapooole kama kuku wenye mdondo 🤣🤣😃Hayatekelezeki ni mambo ya kujifurahisha tuuu
Kasema atajenga uwanja wa mpira ili wananchi wa Dodoma waje kwa wingi kuangalia wasanii wa bongofleva kwenye mikutano ya CCM 🤣🤣🤣Upande wa pili kaongea Nini huko
Mkuu unayo hiyo link nami nifaidi nipate la kusema? Nimekuwa busy sana hadi nimepitwa na mambo
Kisu cha Lissu kimegonga mfupa unaugulia maumivu kweri-kweri 🤣🤣🤣Hakuna sera
Ahahahaaaa [emoji23][emoji1787]. Ana hasira na Mbowe huyo !!Elitwege atapinga haya
Alisema Nini Mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bado sana mkuu!Hakika kisu cha Lissu kimegonga mfupa mataga mmeanza kulia [emoji1787]
Mkuu alietuahidi kutujaza mapesa million 50 kila Kijiji ni Cheyo?.Kama majibu ndiyo haya yaani ndiyo msimamo wa Chadema juu ya mambo mazito ya nchi,basi sikusumbui tena kukuomba ufafanuzi. Lakini, kama unapotosha, kwamba huu siyo msimamo wa Chadema basi, Mkuu, unakihujumu chama hicho. Hii si sahihi
- - -
Lissu ajiepushe na ahadi za " kujazana mapesa" za kipindi kile cha Mzee Cheyo. Ataabika zaidi kwenye sanduku la kura. Tanzania 2020 siyo ya 1995. Watanzania kwa sasa wanatumia tafakuri tunduizi kufanya maamuzi kwa kiwango cha hali ya juu.
Eheee tuambie leo Chuchu sijui zuchu kasemaje kwenye mkutano wenu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bado sana mkuu!
Hizo mnazo sema ndio sera hata kingwendu akipanda jukwani anaweza kuzisema
Haha ha! Unapata shida sana. Watanzania wamechoka hadithi za ndege mnazoambiwa zenu wakati hata baiskeli huna, reli wakati Tunduru sio reli tuu Bali hata barabara hawaijui.Hakuna hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake
Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia
Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi
Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka
Bado haya mambo kwako ni mageni subiri 28/10/2020 utaelewaEheee tuambie leo Chuchu sijui zuchu kasemaje kwenye mkutano wenu?
Hizi ni hisia tu mkuutayar ameshakua potrayed as someone anaetaka kuuza nchi na ukiskiliza hotuba zake hua anakazia sana mahusiano na nchi zingine, watanzania ni watu ambao ni social na wajamaa, ni tafaut na nchi zingine! ukisema swala la kuweka watu kutoka nje tz tayar ni doa kwa sababu ya ule ujamaa tulionao, so he is already out of the game na sidhan kama watu watamwelewa tena kwa jinsi anavokua potrayed jumlisha na ule mkasa wa madini, inshort he is already out of the game mda mrefu
ukiangalia spunda na lissu, utaona kabisa hata ile mada ya kusema ataleta ubwabwa inaonekana ina mashiko zaidi ya kelele za lissu, ameshaharibu mchezo na ni mda muafaka wa kusema bye kwa chadema