Lazima kifuniko ulikichafua sana kwa hiyo hamu yako, ulishindwa kupata hamu wakati ule yupo fit unakuja kuileta hamu yako leo unaona jamaa ana risasi kiunoni!!Yaan jana nilikutana na Lissu live kidogo nizimie kwa furaha yule ni mtu wa ajabu
Nyumbu bwana, mnapeana faraja za kipuuzi !!That was impressive
Kule simiyu kuna mama alijitokeza kuelezea shida zake, lijamaa likadai mama analeta fujonadhani kuna kitu walienda kutazama sio kusikiliza Jiwe . 😂😂😂😂😂
Kidumu chama cha mapinduziHii kitenge ulichoshonesha sare na wife mbona kama ni cha CCM ?
Ccm sela wana C & P kwa CDMingawa hakuna TV inayoonyesha mikutano yake, nashangaa hadi Rais Magufuli anamjibu Lissu. Ina maana kwamba atakuwa anamuangalia Lissu kupitia YouTube, WhatsApp au Facebook.
Jalalani ni neno alilotumia Waziri Kabudi, na Lissu alimjibu Rais Magufuli kazi awape watu wake wa Jalalani, ina maana ya wakina Kabudi. Mbaya Zaidi Magufuli na timu yake wanaondolewa kwenye SGR , Stigler, Midemge na sasa ni kumjibu Lissu tu. Nadhani sasa majuto ndio mjukuu, maana tunacheza nyimbo za wapinzani.
CCM tunapata aibu kubwa sana. Agenda zetu zimeyeyuka ghafla na aibu kila kona.
Hujaona leo Magufuli alivyojaza mamilion ya watu kule Mwanza.
Ccm inapendwa na vilaza wewe,
Na hao MBUMBUMBU ndiyo matatizo makubwa sana Nchini na ndiyo wanaomvimbisha kichwa huyo asiyethamini utu wake hadi kufikia kujiita KICHAA.
Nakwambiaje jiandae tu kuwa mpinzani 2020- 2025Acha Urais hata wabunge hampati, Lowasa aliwabeba mkajiona mmekua kisiasa
Mtarudi nyuma miaka 17 Uchaguzi huu
Ilani ya CHADEMA imelenga service deliveryKwamba Ndege,barabara na reli ni maendeleo ya vitu hayafai halafu anaahidi kujenga masoko!
Hizo bidhaa za kuuza hadi usiku Mbeya zitakuwa zinafika hapo sokoni kwa miguu?
Mkuu unajua ni aghali sana kwa familia kunywa maziwa kwa mwezi kwa hivi vimishahara vyetu, ukikomaa ni majani ya rangi mfululizo.Kwani huko maziwa bei gani?
Hiyo ya kuchangiwa na danganya toto, mabeberu wamesha njaaa mapesa ya kutosha huyoooSawa beberu mwenzangu, tuendelee kumchangia.
Wewe kaipoteze huko wala kula yako moja haitapunguza ushindi wa kimbunga wa JPMMagufuli afanye lolote analofanya, zuri au baya lakini kura yangu yeye mbunge wake na diwani wake hawaipati ng'ooooooo.
Tutaona kamaWewe kaipoteze huko wala kula yako moja haitapunguza ushindi wa kimbunga wa JPM
Hiyo mihemko bro siasa haiko hivyo inabidi ufanye analysis mapema sana kabla ya kusema jambo lolote la kisiasa, wewe subiri muda ufikieTutaona kama
Kimbunga cha wanafunzi wa sekondari kina madhara
Tukutane October 28Chadema hamtafikia hata kura za membe
Mwambieni lissu atapewa urais na robertison wa Amsterdam [emoji3][emoji3]