Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Yaan jana nilikutana na Lissu live kidogo nizimie kwa furaha yule ni mtu wa ajabu
Lazima kifuniko ulikichafua sana kwa hiyo hamu yako, ulishindwa kupata hamu wakati ule yupo fit unakuja kuileta hamu yako leo unaona jamaa ana risasi kiunoni!!
 
ingawa hakuna TV inayoonyesha mikutano yake, nashangaa hadi Rais Magufuli anamjibu Lissu. Ina maana kwamba atakuwa anamuangalia Lissu kupitia YouTube, WhatsApp au Facebook.

Jalalani ni neno alilotumia Waziri Kabudi, na Lissu alimjibu Rais Magufuli kazi awape watu wake wa Jalalani, ina maana ya wakina Kabudi. Mbaya Zaidi Magufuli na timu yake wanaondolewa kwenye SGR , Stigler, Midemge na sasa ni kumjibu Lissu tu. Nadhani sasa majuto ndio mjukuu, maana tunacheza nyimbo za wapinzani.

CCM tunapata aibu kubwa sana. Agenda zetu zimeyeyuka ghafla na aibu kila kona.
Ccm sela wana C & P kwa CDM
 
Nawasikia watu mara oh Lisu azungumzie sera, atafanya nini katika nyanja mbali mbali za kijamii etc! All this is rubbish kama hakuna UHURU! Lissu yuko sahihi, kitu cha kwanza ni ku- regain our FREEDOM IN ALL WALKS OF LIFE AMBAZO ZIMEVURUGWA/ ZIMEPOLWA NA UTAWALA WA AWAMU YA TANO! Haya ya sera na upuuzi wowote awe anarushia rushia tu!

Waamshe watu akili kuwa wanaonewa, wanadhulumiwa, wanateswa, wanapotezwa, wamenyang'anywa UHURU WAO na mengine. Baadaye rushia kidogo habari ya sera, atafanya nini wakimpa kura za kushinda.

Mandela na wenzake wapigania uhuru wote duniani, walipigania UHURU wao kwanza, kuhamasisha watu wajitambue kuwa hawako HURU, haya ya sera yalikuwa kidogo katika harakati zao!
 
Kwamba Ndege,barabara na reli ni maendeleo ya vitu hayafai halafu anaahidi kujenga masoko!

Hizo bidhaa za kuuza hadi usiku Mbeya zitakuwa zinafika hapo sokoni kwa miguu?
Ilani ya CHADEMA imelenga service delivery

Ilani ya ACT imelenga economic growth

Ilani ya CCM imelenga infrastructures

Tatizo lenu vichwa vyenu mmejaza mavi ndiyo maana mnahoji hata vitu obvious tu
 
Nimefuatilia hotuba anazotoa Tundu Lisu, Ni hotuba zilizojaa matumaini kwa kila mtanzania, katika mikoa aliyo Kwisha kupitia amegusia kila Jambo muhimu linalo husu mkoa husika, iwe Ni ktk biashara , kilimo, madini, masoko ya mazao, nk. Lakini hakuacha kuwazungumzia wafanyakazi katika nyanja zote.

Kwa kweli Kama kuna sehemu ambayo hajaizungumzia Basi Ni mapungufu ya kawaida. Bila ya kuficha na najua kuna watu wameumbwa kwa chuki tu ,mambo yaliyo fanyika kwa miaka hii mitano Kama wapiga kura wa nchi hii watayaruhusu tena kwa kupitia sanduku la kura hatutakuwa na wakumlaumu, Lisu amewaeleza watanzania Hali halisi ilivyo, Tena ukimuangalia unaona kuwa anacho kisema ana maanisha kabisa toka moyoni.

Tutafakari wote kwa makini hii miaka mitano je tunahitaji mingine Kama hiyo?
 
Angalia sera hizoView attachment 1561561
JamiiForums451970361.jpg
JamiiForums2082641839.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums-1726896855.jpg
    JamiiForums-1726896855.jpg
    77 KB · Views: 1
Tunamwaga pombe October..........................Tunaenda na Lissu this 2020,
 
Sasa huyu anayedhani akimsema baba wa Taifa na kuhudhurisha familia ya Nyerere Mara anafikiri anawakonga mioyo wakazi wa Musoma kumbe hata ccm yake wameshawatema mbali
 
Back
Top Bottom