Comrade acha unaa ...hizo ni sera za CHADEMA nasi tuna sera zetu tu ingawa atusemi tutazifanyaje..mfano milioni 50 kila kijiji.Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics
Tunalishughulikia hilo jambo kwa karibu sana na tunaamini tutafanikiwaMkuu kwani wapinzani walioenguliwa wamerejeshwa hata mmoja?
Ni duniani gani hiyo ambayo kipindi cha kampeni mgombea anatoa hadi mbinu zanamna yakutekeleza ahadi zake?.ndugu kampeni ni mkutano sio kikao aise.Hata kama ingekua ni kikao bado hakuna mtu anayeweza kuzungumza mambo yote hayo kulingana na muda uliopo.Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics
Acha kujitekenya mkuuHakina hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake
Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia
Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi
Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka
Sio binadamu yuleUtawala wa Magu umekuwa mbaya sana kwa Maisha ya watu wengi
Acha uongoWewe dada mdadisi, umeshajiuliza kwa nini Online TV hazizoom wananchi bali zinazoom jukwaa la wahutubiaji tu?
Hazimo kwenye sera na ilani ya Chadema nitapendaje vitu vya mtu kujitungia .Vingekuwa ndani ya sera na ilani Sina shida ninachokataa kwa nguvu zote Lisu aache kujitungia vitu vyake hewani anadi sera na ilani ya ChademaAcha kujitekenya mkuu
Vipi umezipenda Nini ?
Wivu nimfanyie Lissu????Acha wivu wewe.
😆😆😆😆Comrade acha unaa ...hizo ni sera za CHADEMA nasi tuna sera zetu tu ingawa atusemi tutazifanyaje..mfano milioni 50 kila kijiji.
Mara hamna sera...sasa wamesema na kusoma Ilani yao eti yanatoka kichwani...kwahiyo mlitaka yatoke miguuni?Hakuna hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake
Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia
Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi
Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka
Ni nani huwa anataja na kufafanua nchi hii?Kapangili nini zaidi ya Kutaja bila kufafanua ni jinsi gani Atawakwamua Watanzania anahisi wako kwenye dimbi LA umaskin
Kama wewe? unayesikiliza famba nakudhania ni uhalisiaKwa wale wenye UFINYU wa akili.
Usiseme sehemu kubwa ya Watanzania.
Hivi wafanyakazi wa umma hapa nchini ni % ngapi?
Kama majibu ndiyo haya yaani ndiyo msimamo wa Chadema juu ya mambo mazito ya nchi,basi sikusumbui tena kukuomba ufafanuzi. Lakini, kama unapotosha, kwamba huu siyo msimamo wa Chadema basi, Mkuu, unakihujumu chama hicho. Hii si sahihi.Unataka mikakati gani wakati yeye Hazina itakuwa chini yake .... zimetoka wapi wakati hata kwenye i ?Wewe hausikii kila siku anatuimbia Tanzania ni nchi t
Hajasoma ilani hayo aliyosema hayamo kwenye Ilani ya ChademaMara hamna sera...sasa wamesema na kusoma Ilani yao eti yanatoka kichwani...kwahiyo mlitaka yatoke miguuni?
Mkuu inafahamika chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni kodi, ushuru, tozo, gawio na treasury bills (hati fungani), misaada, ufadhili na mikopo etc.Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics
Magufuli amesema ataongeza ndege zingine 5. Ndio sera yake kubwaHakuna hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake
Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia
Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi
Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka