Mtu akijamba kikao cha harusi kila mtu akibana pua na kuongelea huo ushuzi na mjambaaji ni kizuri kijambaji ndio kinauliziwa? Na ni chema chajiuza?Mwaka kila kada wa chama anaongea kuhusu lisu iwe vijiweni, Barabarani , Ofisini mpaka mtandaoni, Ukichunguza vizuri unagundua kizuri ndicho kinauliziwa, Kibaya chajitembeza.
Yani MaCCM nikama wana wagombea wawili wa uraisi kwenye chama chaoMitaani mtu akishindwa kwenye hoja huporomosha matusi kuficha udhaifu wake wa kujenga hoja
Uwezo mdogo wa Lissu kuelezea sera za CHADEMA ndio unaomfanya aongelee zaidi Magufuli kuficha udhaifu
Anatumia Magufuli Kama kichaka Cha kujificha udhaifu wake wa uwezo wake mdogo wa kuelezea sera za CHADEMA
Ingawa Mimi Ni Yanga mwenzio ila kwa leo nasema wewe Ni zero kama SiroMitaani mtu akishindwa kwenye hoja huporomosha matusi kuficha udhaifu wake wa kujenga hoja
Uwezo mdogo wa Lissu kuelezea sera za CHADEMA ndio unaomfanya aongelee zaidi Magufuli kuficha udhaifu
Anatumia Magufuli Kama kichaka Cha kujificha udhaifu wake wa uwezo wake mdogo wa kuelezea sera za CHADEMA
Kipi nikupe ufafanuzi hapo kaamkao wakula dogoKwa kukariri nakupa hongera. Ukiambiwa ufafanue kwa ushahidi usio na mashaka utabaki kuduwaa
Weka ubinadamu mkuu, siasa isifanye tuwe na chuki hivyo dhidi ya binaadmu mwenzakoKwanini hasingekatwa yule ambaye kwa sasa hatujui kama ni mwanaume au mwanamke maana nasikia zile risasi zimeharibu mpaka mambo yetu yale.,nasikia yeye kwa sasa ni kama she tu.
Wewe una swali?Ndiyo atafanya hivyo.
Una swali lingine?
Hahahaaaa....... hahahaaaa......!Lisu akishinda urais mm nahamia zimbabwe haki ya mungu kabisa nahama.
Bwashe hiyo tunaondoa Mara mojaKwa kifupi sana.
Je, Tundu Lisu ana ujasiri na uthubutu wa kuondoa mrundikano wa marupurupu na posho za kukaa bungeni kwa waheshimiwa wabunge?
Eneo hili ndio limefanya kila mtanzania kuanzia wataalamu wabobezi hadi viongozi wa dini kukimbilia bungeni.
Maendeleo hayana vyama!
CCM ni chama kikubwa bwashee, fursa ziko kedekede tofauti na hapo Ufipa fungu limekata mmeanza kukimbiana!ni kweli buku 7 zinachelewa sana kulipwa hadi mmekata tamaa?
Nimekuelewa bwashee!Sidhani kama ataweza kufanya hvyo maana hapo anagusa masilahi ya wtu tena hapo atagombana hata na wabunge wake wa CHADEMA ,yangu macho
Hahahaaaa...... shukrani bwashee!Comrade nakutakia kazi njema
Buku 7 imeshaingia lakini Comrade?Hahahaaaa...... shukrani bwashee!