Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Tunamchagua Lissu tu maana hayo ma international airport ya chato wanakotua popo hatuyahitaji tunahitaji fursa ya maisha bei za sukari mkate mafuta chini
 
Nimejaribu kupekua mafaili yote ya wizi na ufisadi ndani ya Nchi hii yaliyojaa kila ofisi lakini sikufanikiwa kuona andiko hata liliofutika linaloeleza kashfa ya Mgombea Urais wa Chadema ambaye pia ni Rais Mtarajiwa wa Tanzania Mh Tundu Lissu.

Huyu mtu ni msafi kama theluji , hajawahi kudokoa , kudhulumu chochote popote , hajawahi kudhulumu nyumba ya Serikali wala ya mtu yeyote , hajawahi kuiba mtumbwi wa mtu, hajawahi kudhulumu boti ya uvuvi pale feri wala hajawahi kuiba Meli yoyote , ni mtu asiye na makandokando yoyote .

Tunaamini kwamba ameletwa na Mungu Mwenyewe kuja kuleta Uhuru kamili ndani ya nchi hii na amekuja kuleta furaha iliyotoweka kwa zaidi ya miaka mitano
View attachment 1558038

Ukifuatilia sera yake ya Elimu utagundua kwamba ameletwa maalum kuboresha elimu ya nchi hii ambayo mara zote imeshindwa kumkomboa mwanafunzi
View attachment 1558041

Wananchi wote wamemkubali na wameapa kumpa kura zao ili awaondolee dhiki kwa kuleta maendeleo ya kweli ya watu wa nchi hii
View attachment 1558044

Njia pekee ya kumdhibiti mtu huyu kutwaa Urais wa Tanzania ilikuwa ile ya risasi 38 iliyofeli baada ya Mungu aliye hai kuikataa , na sasa tunahesabu masiku machache kabla ya Tanzania kujitwalia Uhuru kamili .

Mungu mbariki Tundu Lissu
yaani kazi mnayo hivi kweli unajipa kazi ya kuumiza kichwa chako kutunga mashairi yote hayo kwa mtu ambaye unajuwa kabisa hatapata uraisi mbona unajipa mawazo yasiyo na msingi we mdada
 
adhulumiwe nini? , huwezi shinda urais bila kuweka base kweny mashina, yaani vijijini huko, zunguka vijijini uone namna watu wengi walivyo kuwa CCM, vyama vya upidhani wanadhani mitandao,vijana mijini tena wale oya oya ndo base ya ushindi, bila kuwekeza kufungua matawi ya chama kila kijiji na mpaka vitongoji wasahau
Huwa wanadanganywa na nyomi kipindi hiki cha kampeni, wakipata kura chache matokeo yakitoka wanaanza kudai wamefanyiwa fitina.
 
Yaan inchi wachukue chadema?!!! ,bandali,TRA watafanya shamba la bibi, full kupiga, wabunge wao nguli, Sungu, sjui unampa wizara gani?; Mde,Lema, haki ya nani inchi wanauziwa wazungu
tunauzwa wote hapo kila mtu njaa kali sana mfano lema kazi yake inajulikana sasa ndiyo wamkabizi wizara duuuuuu ataiba mpaka viti
 
..kiwango cha tozo ya bima ya afya kitalingana na gharama za maisha za Tanzania.

..ni makosa kufikiria kwamba tutalipa sawa na wa-Canada, wa-Jerumani, au wa-Belgiji.

Rwanda: the beacon of Universal Health Coverage in Africa
 
Bado unanichanganya, yaani nilipe bima laki tatu kwa mwezi ukanilaze amana ile wodi ya bodaboda. Hiyo hapana mkuu
Akili za wafuasi bwana bwana mnafikiri mlivyoshindwa kuboresha huduma za hospitali basi na CDM itashindwa?
 
Jana mh Lissu alivyokuwa tabora alisema anatamani nasisi tupate huduma nzuri ya afya kama aliyopata yeye Ubelgiji, kwa kweli ni jambo jema sana. Kasema alivyofika huko aliuliza sasa gharama itakuwaje? akaambiwa alipie Euro 275 tu na atatibiwa kwa mwaka mzima, kwa exchange rate ya leo euro moja ni sawa na Tshs 2748.07, kwa maana nyingine alilipia Tshs 756,000/=. Hiyo ndio bima ya watu wa kawaida wa Ubelgiji.

Lakini juzi Mh Lissu alivyokuwa Shinyanga alilalamika JPM kumnyima hela ya kutibiwa kwa maana nyingine alinyimwa Euro 275. Sitaki kuamini hayo alifanyiwa. Hoja yangu ni kama kila mtanzania atalipa euro 275 naamini huduma zetu zitakuwa bora sana ikiwezekana zaidi ya huko Ubelgiji lakini watanzania wangapi wenye huo uwezo wa kulipa euro 275?

Je, hii ndio bima nafuu anayo tuhabarisha huyu mheshimiwa? Wazo lake ni jema tatizo uwezo wa watanzania kumudu ndio shaka ilipo? Na ukiwa huna maana yake ufe, au? kwa sasa kama hauna bima kumwona daktari ni bure na matibabu ni bure katika zahanati za umma na vituo vya afya.

Alitakiwa kulipiwa gharama za matibabu, chakula na malazi kwa siku zote alizokuwa huko
 
Wewe ndio mpumbavu na unayejidanganya mwenyewe

utapeli ya 190,000 ya bima unaenda hospital unaambiwa dawa hakuna.
Mkuu, kwani vipi! Mbona mkali Sana Sana?

Tunafaidika nini Sisi na matusi hayo mkuu" watu kama ninyi tunatarajia kupata kitu pindi mnapochangia hizi mada, sasa inakuwaje tena chief
 
Kumbe matibabu ukiwa nje ya nchi ulaya ni bima tu ?

Ulipii pango ulipii Kodi ulipii chochote unaishi miaka 3 ulaya?

Unakula kwa bima unaishi kwa bima unasafiri kwa bima .

Uliza Kwanza ndungai alitibiwa vipi kwa Bilion 12 India.?
Hapa uzi ulikuwa unaishia.
 
Wewe ndio mpumbavu na unayejidanganya mwenyewe

utapeli ya 190,000 ya bima unaenda hospital unaambiwa dawa hakuna.
Kuongea na mtu anayekataa kufikiria ni kazi sana kaka. Ubelgiji na Tanzania ni tofauti sana kwa kila kitu, akijua minimum wage ya Belgium na Tanzania ndio ataweza tambua Euro 275 ni nyingi au chache.
 
Nasikia aliyekuleta duniani alibakwa wakati anauza pombe ya kienyeji.
Nasikia hivi....
Nasikia vile...
Endelea kusikia.
Kumbe alipokuwa Ubelgiji alibakwa na Robert Armstadarm,apo sawa nimeelewa.
Sasa mbona kaja bonbo na kiduku kanyoa?
 
Jana mh Lissu alivyokuwa tabora alisema anatamani nasisi tupate huduma nzuri ya afya kama aliyopata yeye Ubelgiji, kwa kweli ni jambo jema sana. Kasema alivyofika huko aliuliza sasa gharama itakuwaje? akaambiwa alipie Euro 275 tu na atatibiwa kwa mwaka mzima, kwa exchange rate ya leo euro moja ni sawa na Tshs 2748.07, kwa maana nyingine alilipia Tshs 756,000/=. Hiyo ndio bima ya watu wa kawaida wa Ubelgiji.

Lakini juzi Mh Lissu alivyokuwa Shinyanga alilalamika JPM kumnyima hela ya kutibiwa kwa maana nyingine alinyimwa Euro 275. Sitaki kuamini hayo alifanyiwa. Hoja yangu ni kama kila mtanzania atalipa euro 275 naamini huduma zetu zitakuwa bora sana ikiwezekana zaidi ya huko Ubelgiji lakini watanzania wangapi wenye huo uwezo wa kulipa euro 275?

Je, hii ndio bima nafuu anayo tuhabarisha huyu mheshimiwa? Wazo lake ni jema tatizo uwezo wa watanzania kumudu ndio shaka ilipo? Na ukiwa huna maana yake ufe, au? kwa sasa kama hauna bima kumwona daktari ni bure na matibabu ni bure katika zahanati za umma na vituo vya afya.
ukicheki gharama za maisha za Ubelgiji zilivyo na uchumi wake ulivyo, euro 275 ni hela ndogo sana kwa matibabu ya mwaka mzima, kule watu wana minimum wage wa dola 15,000 au milioni 35 kwa mwaka,

to be honest bima za afya za Tanzania ni kubwa sana ukilinganisha na pato la mtanzania kwa wastani, nikicheki gharama za kujitibu mimi,mtoto wangu,mume na mama kwa mwaka mzima ni nafuu zaidi kuliko gharama za bima ya mwaka, so pointi ya bima ni nini kama haipunguzi gharama kipindi cha majanga (magonjwa)?
 
Back
Top Bottom