Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuchangia kidogo kwa maendeleo ya soko na ukarabati,huduma za maji ,ulinzi,umeme hata ukuaji wa uchumi kwa eneo husikaMaendeleo ya watu ni yale yanayomuwezesha mtu kufanya biashara ya moja kwa moja, ndege, reli na flaiova si maendeleo ya mtu moja kwa moja.
Soko ni banda linalokuwezesha kufanya biashara kivulini na sehemu salama.
Mla mla leo mla kesho kala nini! Ili ufanyekazi unahitaji chakula, bila chakula hawezi kuwa na tija, anza na wananchi wapate angalau milo miwili kwa siku kisha jenga miundombinu. Lissu anaona aanze na wananchi wapate chakula chao kila siku ndipo ajenge miundombinu.Nakuchangia kidogo kwa maendeleo ya soko na ukarabati,huduma za maji ,ulinzi,umeme hata ukuaji wa uchumi kwa eneo husika
Mabadiliko yoyote yanatokana na ukuwaji wa uchumi na wingi wa walaji,Kwakuwa hamko tayari kufuata maelekezo ya wataalamu wa mipangomiji ili kuboresha na kulinda mazingira mmelitega bomu la wamachinga na litakuja kuwalipukieni.
Ni mind set tu Mkuu, the current masoko ama stand za mabus zinaweza kuwa sehemu ya masoko hayo...ni kuongeza usalama kwa wafanyabiashara...badala ya mapolis kushinda kukimbizana na mara taa ya kushoto mbona haiwaki watabaki wakiwajibika kwa majukumu yao sahihi...Mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu ameahidi kujenga masoko makubwa ya kisasa jijini Mbeya yatakayokuwa yanatoa Huduma saa 24.
Ndio nauliza ujenzi huu tuutafsiri kama ni maendeleo ya Watu au ya Vitu kwa sisi wananchi wa kawaida?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
That was impressiveMama Maria ni shujaa wetu wa siku, bibi hongera sana.
Ni kama umekutana na upako.
Itawezekana?Lisu apige nyundo nyingine aseme atawalipa wale wote walioondolewa kazini kisa vyeti fake
Kwani huko maziwa bei gani?Basi sawa angalau na mimi nikanywe chai ya maziwa
Siku hizi magufuli anasikiliza lissu kaongea nini kesho yake anajibu.
Imefika hatua kabla ya kupanda jukwaani Mzee Pombe badala ya kupitia Ilani ya CCM anapitia video za hotuba za Lissu ndiyo anapata cha kuongea jukwaani.
Na matokeo yake ndiyo Mzee Pombe anapanda jukwaani akiwa na jazba mno maana akila akiongea anakumbuka maneno ya Lissu aliyoyaona kwenye video za mikutano ya Lissu 🤣
Hiyo hiyo ndio imwagurumusha JPm na Samia siku nzima. Leo moody mbaya sana. Kule mama Maria kachomoa betri😅😅😅
Alishalisema hili mkutano wa Kawe akalirudia tena mkutano wa Arusha.Lisu apige nyundo nyingine aseme atawalipa wale wote walioondolewa kazini kisa vyeti fake