msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 863
- 1,534
Kwani kusoma ndio kuelemika? Unaweza kuwa na elimu kubwa lakini bado ukawa na uwezo mdogo WA kufikiri na kutenda.Unazani kuna darasa la saba hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kusoma ndio kuelemika? Unaweza kuwa na elimu kubwa lakini bado ukawa na uwezo mdogo WA kufikiri na kutenda.Unazani kuna darasa la saba hapo
Wewe pambania Dini iliyotoa kiongozi aliyeratibu rushwa Hadi presidential jet kuzuiliwa na watoa rushwa!! Urais umeghoshiwaUsikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Wanamezeshana sumu za kishamba Sana hawa watu na kujikuta kuwa wao ndio watukufu pekee duniani wakati ni sawa na wengine tuWaamue na wajaribu sasa!!
Unafikili ao elimu dunia tu awo wasomi hoooUsikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Mie si mromani lakini nadhani huwajui waromani. Ni kanisa lililo na wataalamu wa kila namna. Wao mbali na kusomea teologia na falsafa za dini, pia usoma elimu dunia katika nyanja mbalimbali.Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Umeshirikisha ubongo kweli?Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?
Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.
Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Pasuka ufe!Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?
Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.
Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Kwa maelezo haya unaonyesha wewe ni mkatoliki kindakindaki uliyenyweshwa maji ya bendera ya Vatican kwahiyo Acha kujificha kwenye Imani za watu wengine kuwa muwazi tuMie si mromani lakini nadhani huwajui waromani. Ni kanisa lililo na wataalamu wa kila namna. Wao mbali na kusomea teologia na falsafa za dini, pia usoma elimu dunia katika nyanja mbalimbali.
Kuna wachumi, wanasheria, wahasibu, wahandisi, madakitari, marubani, manesi na walimu pia.
Unavyo sema ukute hawajasoma usiwalinganishe na aina nyingine hawa jamaa uwa hawakurupuki. Na wana wataalamu wabobezi ktk intelijensia.
Wanajiona wao tu ndio watakaokwenda mbinguni🤣🤣🤣
Kwani nani anataka kukudanganya?...Hatudanganyiki!
Hao wanasoma miaka mingi kuliko ma Professor usidhani ni mbumbumbu kama wewe....Hao ndiyo ambao elimu ilianza katika dini Yao. Kisha wanachukua cream Kila nchi...Usidhani wapo kama wewe. Kisha fahamu Wana kiti UN kinaitwa Holy Sea...Usicheze na mfumo, omba Mungu tuufute huo mfumo wao lakini usiwachezee...Hawa ni kitu kingine Hadi America yenyewe inawaogopa kama ukoma...Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu