Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Zawadini yale mambo yetu, haya huku tena ...

Ama kwa hakika:

F3k78Z8a0AAldWM.jpeg


Raha Siyo raha?
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Mie si mromani lakini nadhani huwajui waromani. Ni kanisa lililo na wataalamu wa kila namna. Wao mbali na kusomea teologia na falsafa za dini, pia usoma elimu dunia katika nyanja mbalimbali.
Kuna wachumi, wanasheria, wahasibu, wahandisi, madakitari, marubani, manesi na walimu pia.

Unavyo sema ukute hawajasoma usiwalinganishe na aina nyingine hawa jamaa uwa hawakurupuki. Na wana wataalamu wabobezi ktk intelijensia.
 
Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?

Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.

Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Umeshirikisha ubongo kweli?
 
Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?

Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.

Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Pasuka ufe!

Kwani wewe ni nani? Wewe siyo mwananchi? Kiongozi na wananchi, kisheria ni nani anapaswa asikilizwe?

Pumbavu kabisa wewe
 
Mie si mromani lakini nadhani huwajui waromani. Ni kanisa lililo na wataalamu wa kila namna. Wao mbali na kusomea teologia na falsafa za dini, pia usoma elimu dunia katika nyanja mbalimbali.
Kuna wachumi, wanasheria, wahasibu, wahandisi, madakitari, marubani, manesi na walimu pia.

Unavyo sema ukute hawajasoma usiwalinganishe na aina nyingine hawa jamaa uwa hawakurupuki. Na wana wataalamu wabobezi ktk intelijensia.
Kwa maelezo haya unaonyesha wewe ni mkatoliki kindakindaki uliyenyweshwa maji ya bendera ya Vatican kwahiyo Acha kujificha kwenye Imani za watu wengine kuwa muwazi tu
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Hao wanasoma miaka mingi kuliko ma Professor usidhani ni mbumbumbu kama wewe....Hao ndiyo ambao elimu ilianza katika dini Yao. Kisha wanachukua cream Kila nchi...Usidhani wapo kama wewe. Kisha fahamu Wana kiti UN kinaitwa Holy Sea...Usicheze na mfumo, omba Mungu tuufute huo mfumo wao lakini usiwachezee...Hawa ni kitu kingine Hadi America yenyewe inawaogopa kama ukoma...

Ajabu ni kuwa hivi walidhani Dr. Alijiongelesha kama taahira fulani bila force nyuma yake?

Haya sasa wame ji reveal njooni sasa maana wapo tayari muone moto wake...

Mimi si pendagi udini ndiyo sababu nilihama hiyo dini Yao...Maana hii mifumo ndiyo inayotudhalilisha binadamu huku duniani
 
Back
Top Bottom