Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Kwa maelezo haya unaonyesha wewe ni mkatoliki kindakindaki uliyenyweshwa maji ya bendera ya Vatican kwahiyo Acha kujificha kwenye Imani za watu wengine kuwa muwazi tu
Ila JF ya siku hizi ya ajabu sana. Sasa unalazimisha imani yangu kisa nimeeleza kuhusu waromani? Ha ha ha! Ok nambie nikuelezee imani gani nyingine ili uamini vinginevyo.
Experience ktk maisha, ujuzi, na hata exposure umfanya mtu kuelewa mambo mengi. Si lazima ujuapo jambo fulani weye ni mmoja wao.
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
My friend hawa siyo akinaMwaipopo, Hapo kuna PHD za kutosha na kama kawaida Genuine PHD holder yoyote (siyo kama ile Msukuma) huwa ni wapenzi wa maandishi na hawasomi tu bali ni kusoma na ku-analyse.
 
Back
Top Bottom